Nani Anaweza Kumrithi Prof. Lipumba?

Nani Anaweza Kumrithi Prof. Lipumba?

Chadema nao wawakopeshe Pro.Safari, wao si wameazimwa Juma Duni
Hahahaha nani unadhani atakuwa tayari kwenda kwenye li chama linalokufakufa. Hata leo hii ukimwambia Duni Haji arudi CUF atagoma. Hata ningekuwa mimi. Unacheza nini
 
Hahahaha nani unadhani atakuwa tayari kwenda kwenye li chama linalokufakufa. Hata leo hii ukimwambia Duni Haji arudi CUF atagoma. Hata ningekuwa mimi. Unacheza nini

Huyu Lipumba ndo aliwatoa kwny Bunge la Katiba wakati angebaki walau ingepatikana Tume huru ya Uchaguzi. Usajili wa Ccm umefunika wa Ukawa. LIPUMBA +DR SLAA ni usajili wa Kihistoria ndo ile walielezwa watakiona cha Mtemakuni wakadhani virungu vya Ffu
 
Namuonea huruma Magdalena Sakaya kweli. Sijui kama atapata usingizi leo. Hatalala. Manake atakuwa akiwaza na kuwazua kuwa ameuingia mkenge. Ni bora angekuwa labda ACT, lakini amesha bugi meen! She is too innocent na mkweli. Kwa style yake anafaa kwenda ccm. Wakati ni huu mama. Hata sisi wengine tushajikatia tamaa, tunaangalia upepo tuu wapi tutatua baada ya hizi sekeseke
 
Dr. Slaa ndiye anayetarajiwa kuwa Mwenyekiti wa muda wa CUF kabla ya kufanyika kikao cha mkutano mkuu wa CUF utakaomuidhinisha rasmi kuwa mwenyekiti kamili wa chama hicho.

kilaza ni kilaza tu adi abustiwe
 
Ata mtu yeyote anaweza mrith kwani alikuwa na akili timamu?
 
Anasifa zote, nijasiri kama mbowe, hana tamaa Za kijinga na upeo wa mbali. Chondechonde wana cuf
 
Hilo ni moja ya mamboengi yaliyomshinda lipuma.hakuweza au hakutaka kuandaa mrithi wake
 
Duni awe katibu mkuu Chadema na Dr.Slaa awe mwenyekiti Cuf. Hapo propaganda ya ccm kuhusu udini itakuwa imeisha.Lowasa Rais Dr.Slaa waziri mkuu,patanoga sanaaaaa!
 
Duni awe katibu mkuu Chadema na Dr.Slaa awe mwenyekiti wa Cuf,hapo sasa propaganda za ccm na udini zitakuwa zimeisha.Lowasa Rais na Dr.Slaa waziri mkuu,patanoga saaanaaaaaaaa!
 
Salaam Wakuu
Tumesikia Habari Za Kujiuzulu Prof.Lipumba, Mwenyekiti Wa CUF. Kujiuzulu Huku Kumetia Pengo CUF Na UKAWA ambalo linahitaji Kuzibwa na Mtu Mwenye Uwezo. Nani Anaweza Kuwa Mwenyekiti Mpya Wa CUF? Magdalena Sakaya, Julius Mtatiro, Jusa Ladu, Kambaya.

Nani Anafaa? Tutafakari

Julius Mtatiro atosha! ni msomi, jasiri na mzalendo.
 
Salaam Wakuu
Tumesikia Habari Za Kujiuzulu Prof.Lipumba, Mwenyekiti Wa CUF. Kujiuzulu Huku Kumetia Pengo CUF Na UKAWA ambalo linahitaji Kuzibwa na Mtu Mwenye Uwezo. Nani Anaweza Kuwa Mwenyekiti Mpya Wa CUF? Magdalena Sakaya, Julius Mtatiro, Jusa Ladu, Kambaya.

Nani Anafaa? Tutafakari

Hakuna haja ya kutafakari jambo dogo kama hili. Moja kwa moja apewe msomi mashuhuri wa Afrika na duniani kwa ujumla, Dr. Benson Bana
 
Dr. Slaa ndiye anayetarajiwa kuwa Mwenyekiti wa muda wa CUF kabla ya kufanyika kikao cha mkutano mkuu wa CUF utakaomuidhinisha rasmi kuwa mwenyekiti kamili wa chama hicho.

Wewe unaota? Askofu Pengo atakuwa wapi?Kusema kweli Julius Mtatiro anatosha kabisa ingawa dini inaweza kuwa kikwazo kwamba m/kiti na makamu wake wote dini ile ile hapo inaweza kuwa tatizo. Kama ikiwa hivyo aletwe Jussa ana uwezo wa kuongeza hata wabunge wa majimbo. Hakika cuf mlipoteza muda mrefu mno na Lipumba. Kwa miaka yote aliyoongoza chama angekuwa na zaidi ya wabunge kumi wa majimbo. Mlitakiwa mumfukuze hata uanachama toka uchaguzi wa 2010 alipompigia kampeni Kikwete na kukiri katika msikiti wa Idrissa Dar. Kwa sasa hivi mara mkimaliza kikao cha j'pili atakaechaguliwa kuwa m/kiti aanze kazi mara moja na hata makamu wa bara na makada watoke maofisini wakaeneze elimu ya uraia kwa wapiga kura kampeni zikianza wawanadi wagombea wao kwa nguvu huku wakisaidiana na makada wenzao wa ukawa. Kwa kufanya hivyo nina hakika cuf watajiongezea wabunge. Hakikisheni mnamtumia Mtatiro kwa elimu yake nzuri,ushawishi wake na kukubalika kwake kisiasa. Mwisho namshukuru katibu mkuu Maalim Seiff kuona mbali kwani Lipumba baada ya kukosa nafasi ya uraisi ukawa alitaka kuichomoa cuf ukawa. Kukimbia kwake nchi ni kuepuka kuwajibishwa na kikao cha j'pili.
 
Magdalena Sidhani

Wangempatia Mtatiro...Itarudisha CUF kWENYE lANDSCAPE MAtata ya Siasa
 
Back
Top Bottom