Nani anawadanganya Wakenya kuwa wana Ubavu wa Kushindana 'Kijeshi' na Tanzania inayoogopeka 'Kijeshi' na 'Kiujasusi' Ukanda wa Maziwa Makuu?

We Genta unakutana na wagambo wenzio unakuja kutudanganya hapa JF.
 
Labda itokee vita, (ni mfano tu ila tusiombe) kati ya Tz Kenya, siku moja tu inatosha na askari wetu watakuwa wanakunywa chai ndani ya jiji la Nairobi.
 
Sasa ulitaka wauawe kama Tanzania wenzenu wanafuata katiba na walichokuwa wanakitaka kilikubaliwa hapa kodi kibao mnaongelea chini chini kuogopa watawala.you are zero brain 👎
 
Pengne kenya akawa nyuma ya nchi kubwa na zenye power utatoboa jamani tuombee amani nchi yetu vita syo poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…