Nani anavikumbuka na alisoma hivi vitabu?

Spear_

JF-Expert Member
Dec 29, 2010
1,603
486
Wadau naomba wapi nitapata vitabu vya hadithi za zamani kama za kina Bulicheka, Panga la shaba, Abunuwasi, Mandawa na Manenge.

==========
Vitabu vya kiswahili vya enzi zetu na hadithi zake. Kama vile SIKUELEWE, KIBANGA AMPIGA MKOLONI, TOLA ACHA KULA GIZANI n.k nawewe unaweza kutupia hadithi zilizokugusa sana primary enzi hizo.
 
Si rahisi ukapata kitabu chenye hadith za mandawa na manenge..nadhani hiki kilikuwa kinachapishwa na TES ya enzi hizo,ambapo ni marehemu,japo walikuwa na duka lao Mkwepu.

Hadithi za Bulicheka, kitabu kinaitwa SOMENI KWA FURAHA, .ambapo kuna parts kadha za kitabu hiki. Utakipata hapo Amazon au bookshop yoyote ya vitabu ya wanafunzi dsm.
 
Natamani nami ningekuwa navyo! Vinanikumbusha mbaaaliiii!! Hadithi km za akina Bwana Matata. Vitabu vya siku hizi hazina mvuto km za wkt ule; hata picha zake pia -- fikiria picha za akina Juma na Roza, Stupid Kalagesye, ... .
 
Vitabu vya kiswahili vya enzi zetu na hadithi zake. Kama vile SIKUELEWE, KIBANGA AMPIGA MKOLONI, TOLA ACHA KULA GIZANI n.k nawewe unaweza kutupia hadithi zilizokugusa sana primary enzi hizo.
 
Barua ya mjomba Mndolwa, Ndoto ya Kimweri, Kijiji cha Kigombe, Kambi ya Kaboya... Hapo nakumbuka hadithi za kiswahili darasa la nne 1987!
 
♥sadiki na sikiri♡
♥gulio la katelelo♡
♥watoto wageuka mawe♡
♥andunje♡
♥hekaya za abunuasi♡
♥ziwa jipe♡
♥sizitaki mbichi hizi♡
 
Muwa uliozamisha meli, la la la!, upatu shujaa, awafu mwenye nguvu, sikulamba sukari, juma na uledi.
 
Vitabu vya kiswahili vya enzi zetu na hadithi zake. Kama vile SIKUELEWE, KIBANGA AMPIGA MKOLONI, TOLA ACHA KULA GIZANI n.k nawewe unaweza kutupia hadithi zilizokugusa sana primary enzi hizo.

Kuna hii kitu hapa..Daah..inanikumbusha mbali sana..enzi za primary..!!
 
The family of Mr. And Mrs Daudi...

Are u sleeping...are u sleeping! Brother Musa! Brother Musa! Morning bell is ringing! Morning bell is ringing! Ding dong ding!!

Long time ago! When school meant school for sure...not today
 
Vitabu vya kiswahili vya enzi zetu na hadithi zake. Kama vile SIKUELEWE, KIBANGA AMPIGA MKOLONI, TOLA ACHA KULA GIZANI n.k nawewe unaweza kutupia hadithi zilizokugusa sana primary enzi hizo.

ID ya mtu hyo
kabanga ampiga mkoloni
 
Last edited by a moderator:
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom