Nani anaratibu haya kwa Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Rais ni mkuu wa Serikali na nchi. Rais ni nembo yetu; fahari yetu; kiongozi wetu na kiungo chetu. Lakini, Rais ni 'mwajiriwa wetu' nambari moja nchini. Ndiyo maana, akifanya vizuri tunamsifu na akifanya vibaya tunamkosoa na kumsema.

Tunapaswa kujua anakoenda na anachoenda kufanya. Labda kama anakwenda likizoni. Usirisiri kwenye mambo yamhusuyo Rais wetu unatutisha na hatuupendi. Ukomemeshwe hadi ukome. Huu ni ujumbe wangu kwa wahusika wote wa ulinzi na protokali za Rais wetu.

Ilianza kule Kenya. Raila Odinga, kinara wa upinzani nchini Kenya, alidai kuwa Rais Samia alikwenda nchini Kenya kwa ajili ya kujaribu kuwapatanisha Raila na Rais William Ruto. Habari hii ilishtua wengi. Iliwezekanaje Rais Samia, aliyekuwa na nia ya amani ya Kenya, kwenda sirini na kisirisiri?

Ikafuata kuonekana ndege ya Rais kule Uarabuni hivi majuzi. Kama watanzania, hatukutangaziwa wala kufahamishwa kama Rais wetu ana ziara Uarabuni. Iliwezekanaje ndege ya Rais wetu (iliyoashiria kuwa Rais alikuwa huko pia) iende kisirisiri Uarabuni?

Ratiba za Rais wetu ziwe wazi. Mambo yake kama Rais yawe wazi. Kufichaficha na kumsafirisha Rais wetu sirini hakuna faida. Tutaambiwa nini ikiwa jambo lisilovutia likimtokea Rais wetu huko anakokwenda kwa siri...hukohuko sirini? Nani anaratibu mambo haya hatarishi kwa Rais wetu?

Rais ni public figure. Tunapaswa kujua yote anayoyatenda kama Rais.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (Kilosa, Morogoro)
 
Rais ni mkuu wa Serikali na nchi. Rais ni nembo yetu; fahari yetu; kiongozi wetu na kiungo chetu. Lakini, Rais ni 'mwajiriwa wetu' nambari moja nchini. Ndiyo maana, akifanya vizuri tunamsifu na akifanya vibaya tunamkosoa na kumsema.

Tunapaswa kujua anakoenda na anachoenda kufanya. Labda kama anakwenda likizoni. Usirisiri kwenye mambo yamhusuyo Rais wetu unatutisha na hatuupendi. Ukomemeshwe hadi ukome. Huu ni ujumbe wangu kwa wahusika wote wa ulinzi na protokali za Rais wetu.

Ilianza kule Kenya. Raila Odinga, kinara wa upinzani nchini Kenya, alidai kuwa Rais Samia alikwenda nchini Kenya kwa ajili ya kujaribu kuwapatanisha Raila na Rais William Ruto. Habari hii ilishtua wengi. Iliwezekanaje Rais Samia, aliyekuwa na nia ya amani ya Kenya, kwenda sirini na kisirisiri?

Ikafuata kuonekana ndege ya Rais kule Uarabuni hivi majuzi. Kama watanzania, hatukutangaziwa wala kufahamishwa kama Rais wetu ana ziara Uarabuni. Iliwezekanaje ndege ya Rais wetu (iliyoashiria kuwa Rais alikuwa huko pia) iende kisirisiri Uarabuni?

Ratiba za Rais wetu ziwe wazi. Mambo yake kama Rais yawe wazi. Kufichaficha na kumsafirisha Rais wetu sirini hakuna faida. Tutaambiwa nini ikiwa jambo lisilovutia likimtokea Rais wetu huko anakokwenda kwa siri...hukohuko sirini? Nani anaratibu mambo haya hatarishi kwa Rais wetu?

Rais ni public figure. Tunapaswa kujua yote anayoyatenda kama Rais.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (Kilosa, Morogoro)
Mkuu

Ndege za mabwanyenye zimeanza kutua kwa fujo kiwanja kidogo cha Zinga, Bagamoyo ambako bandari bandari yenye utata inataka kujengwa. Ndege imetua wakashuka watu weupe kama saba na weusi wawili hivi!!!

Usishangae, kama waliweza kuchukua vipimo vya JPM na kupeleka Kenya kisiri kwa kutumia presidential code ili aonekane alipelekwa huko unashangaa nini mkuu? Nchi ya TZ ina viongozi hawapo sayari yoyote ulimwenguni hata UFOs wanawakataa!!!
 
Samia amechanganyikiwa, anajua ameharibu pakubwa na haaminiki tena, huko anakokwenda hovyo bila taarifa ndiko kunamfanya azidi kuonekana kiongozi wa hovyo asiye na muelekeo, anajiendea tu.
She has gone astray and the route is about to blow up the flaming anger from the pumpkins. She will regret for accepting being harnessed by invisible bigwigs.
 
Rais ni mkuu wa Serikali na nchi. Rais ni nembo yetu; fahari yetu; kiongozi wetu na kiungo chetu. Lakini, Rais ni 'mwajiriwa wetu' nambari moja nchini. Ndiyo maana, akifanya vizuri tunamsifu na akifanya vibaya tunamkosoa na kumsema.

Tunapaswa kujua anakoenda na anachoenda kufanya. Labda kama anakwenda likizoni. Usirisiri kwenye mambo yamhusuyo Rais wetu unatutisha na hatuupendi. Ukomemeshwe hadi ukome. Huu ni ujumbe wangu kwa wahusika wote wa ulinzi na protokali za Rais wetu.

Ilianza kule Kenya. Raila Odinga, kinara wa upinzani nchini Kenya, alidai kuwa Rais Samia alikwenda nchini Kenya kwa ajili ya kujaribu kuwapatanisha Raila na Rais William Ruto. Habari hii ilishtua wengi. Iliwezekanaje Rais Samia, aliyekuwa na nia ya amani ya Kenya, kwenda sirini na kisirisiri?

Ikafuata kuonekana ndege ya Rais kule Uarabuni hivi majuzi. Kama watanzania, hatukutangaziwa wala kufahamishwa kama Rais wetu ana ziara Uarabuni. Iliwezekanaje ndege ya Rais wetu (iliyoashiria kuwa Rais alikuwa huko pia) iende kisirisiri Uarabuni?

Ratiba za Rais wetu ziwe wazi. Mambo yake kama Rais yawe wazi. Kufichaficha na kumsafirisha Rais wetu sirini hakuna faida. Tutaambiwa nini ikiwa jambo lisilovutia likimtokea Rais wetu huko anakokwenda kwa siri...hukohuko sirini? Nani anaratibu mambo haya hatarishi kwa Rais wetu?

Rais ni public figure. Tunapaswa kujua yote anayoyatenda kama Rais.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (Kilosa, Morogoro)
Wanaruhusiwa kuolewa na mtu zaidi ya mmoja!
 
Back
Top Bottom