MWITONGO MAARIFA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 276
- 1,428
Tanzania tunaijua na Watanzania Tunawajua.
Urais tunaujua na sifa za kugombea Urais tunazijua.
Rais Bora tunamjua na sifa za Rais Bora tunazijua.
Je, kwa Aina ya utawala tulionao na kwa nia ya kuyaendeleza Yale mazuri yaliyotendwa na Rais tuliyenaye, Nani anapaswa kumrithi 2020 au 2025?
Urais tunaujua na sifa za kugombea Urais tunazijua.
Rais Bora tunamjua na sifa za Rais Bora tunazijua.
Je, kwa Aina ya utawala tulionao na kwa nia ya kuyaendeleza Yale mazuri yaliyotendwa na Rais tuliyenaye, Nani anapaswa kumrithi 2020 au 2025?