M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
2025 kwa nini kote huko?Tanzania tunaijua na Watanzania Tunawajua.
Urais tunaujua na sifa za kugombea Urais tunazijua.
Rais Bora tunamjua na sifa za Rais Bora tunazijua.
Je, kwa Aina ya utawala tulionao na kwa nia ya kuyaendeleza Yale mazuri yaliyotendwa na Rais tuliyenaye, Nani anapaswa kumrithi 2020 au 2025?
for damage limitation, mbadala lazima iwe 2020!!