Uchaguzi 2020 Nani anapaswa kumrithi Rais Magufuli?

Sidhani kama 2025 kutakuwa na mgombea mwingine,awamu ya pili ya mzee baba katiba itabadilishwa kidogo,ngoja tu aongoze kama kagame.watakuja wajinga kuharibu hizi juhudi tulizoanza nazo.kwa maana hiyo kwasasa hakuna anayefaaa,mpaka 2050 tutakuwa mbali.mungu ampe maisha marefu mh. Rais afikishe umri wa miaka 90 hivi.tena watu wenye roho ngumu huwa wanaishi miaka mingi hahahahaaa!!
 
Idiot. Idiot. Pumbavu. Zama hizi si za kuangalia dini. Dkt Magufuli alionwa anafaa kuwa rais kabla hata ya kuchukua fomu. System haina dini, system haitambui unaenda msikitini mara ngapi, uadilifu haujali dini, dini yako ni ya kwako tu. Dkt Magufuli alichaguliwa na watu wa dini zote na wasiokuwa na dini. Hivyo usitegemee eti rais aje achaguliwe kwa sababu ni muislamu. Hata mh. kigwangala au yeyote anahitaji kukidhi viwango vya uadilifu, mfano huyo kigwangala si muafilifu mpaka dk hii keshapoteza he will never ever become presida kwa sababu ya kukosa uadilifu

1 Nyerere= kristo
2 Mwinyi= Muslim
3 Mkapa= kristo
4 Kikwete= Muslim
5 Magufuli= kristo
6 ?? Next Muslim, hii post siifuti na ndio itakuwa shahidi. Labda wabadilishe katiba.
 
1 Nyerere= kristo
2 Mwinyi= Muslim
3 Mkapa= kristo
4 Kikwete= Muslim
5 Magufuli= kristo
6 ?? Next Muslim, hii post siifuti na ndio itakuwa shahidi. Labda wabadilishe katiba.
Sikiliza, zama hizo zilishapita ndugu yangu. Kulikuwa nakautaratibu ka Zenj vs Bara, JK alikavunjilia mbali. Baada ya hapo sasa hivi na siku za usoni rais ataandaliwa na watu wa system, atafanyiwa vetting kwa miaka yote 10, kila anayestahili atafanyiwa vetting bila kujali kabila wala dini, anayeruka na kukizi vigezo ndiye anakuwa rais upende usipende. Wewe ka muislamu imekula kwako, sasa Tz inahitaji maendeleo hatuhitaji dini, dini ni matokeo ya mtu binafsi, hata akionekana mtu asiye na dini akapita vetting ni sawa. Kwahiyo pole sana mjahidina wa kibiti
 
Sikiliza, zama hizo zilishapita ndugu yangu. Kulikuwa nakautaratibu ka Zenj vs Bara, JK alikavunjilia mbali. Baada ya hapo sasa hivi na siku za usoni rais ataandaliwa na watu wa system, atafanyiwa vetting kwa miaka yote 10, kila anayestahili atafanyiwa vetting bila kujali kabila wala dini, anayeruka na kukizi vigezo ndiye anakuwa rais upende usipende. Wewe ka muislamu imekula kwako, sasa Tz inahitaji maendeleo hatuhitaji dini, dini ni matokeo ya mtu binafsi, hata akionekana mtu asiye na dini akapita vetting ni sawa. Kwahiyo pole sana mjahidina wa kibiti

Hahhaa imekugusa eti, huo ndo ukweli.
 
Sultani? Au yule wa kwenye tamthilia Azam
Ninaamini siyo kusudi mchokoza mada kutaka rais Magufuli awe madarakani miaka 30 au zaidi. Kwa sababu hata kama hilo linaweekana hawezi kuwepo kwa muda wote ambao Tanzania itakuwepo hapa duniani. Naamini kuwa nia yake ni kutufanya watanzania tufikirie critically ni mfumo gani uwepo ambao utatuwezesha kupata rais mwingine kama Magufuli baada yake. Naomba wale wenye kumtakia mema mama Tanzania tusaidiane kukuna vichwa vyetu tupate ufumbuzi wa mada hii. Wale wengine wanaokerwa na "udikteta" wa Magufuli nawaomba wawe waungwana wawe watazamaji na wasikilizaji tu kwa vile tunayajua tayari maoni yenu.
 
Tanzania tunaijua na Watanzania Tunawajua.

Urais tunaujua na sifa za kugombea Urais tunazijua.

Rais Bora tunamjua na sifa za Rais Bora tunazijua.

Je, kwa Aina ya utawala tulionao na kwa nia ya kuyaendeleza Yale mazuri yaliyotendwa na Rais tuliyenaye, Nani anapaswa kumrithi 2020 au 2025?
 
Sioni wa kumrithi Mzee Magu ndaniya SiSiEm, wote wanatabia za wajumbe! Mzee wa Chato aendelee kukaa hapo kama M7 ili tupate maendeleo ya kweli.
 
Tunataka Baniani next time Magolo ni shida tu...

Wewe udini wa nini tena humu, umeona giza mbele ndiyo unataka kutuletea machafuko, umetumwa na mabeberu nini?! Kama mtu anapiga kazi mpaka Corona inakimbia unataka umbadirishe kwa nini, Magu komaa Mzee hatuchagui padri, shehe wala mchungaji wa kutuhubiri dini, tunataka mtu anayefanya kazi inaonekana. Naomba Mzee JPM aendelee mpaka waliotumwa na mabeberu wakimbie nchi wenyewe!

Iwapo akipatikana Mtu mwenye courage kama Mzee Baba Jiwe hata kama hana Dini, sisi kwetu muhimu ni maendeleo ya jumla yanayoonekana. Maswalaya dini kila mtu atatafuta anako abudu atakwenda huko.
 
Anampango wa kuwa Rais wa Milele.
Asiye na ukomo.

Yeyeni Alfa na Omega mwanzo na mwisho.

Kwa maana yeye ni yesu wa kangi Lugola
 
2015: Tunataka Rais mchapakazi na mkali hata akiwa mwizi poa tuuu.


2020: Tunataka Rais ambaye sio mwizi hata akiwa sio mchapakazi poa tuu.

2025: Tunataka katiba ambayo itaondoa cheo cha Rais.
 
Back
Top Bottom