Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Wakuu naomba kuelimishwa hapa. Anayepanga hizi tozo tunazolipa Serikali ya mitaa ni nani? hasa Kinondoni.
tozo kama Garbage fee collection, Ulinzi shirikishi.
Nani anapanga kiwango na je hwa jamaa wapo chini ya nani? who regulate them.
tozo kama Garbage fee collection, Ulinzi shirikishi.
Nani anapanga kiwango na je hwa jamaa wapo chini ya nani? who regulate them.