MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,359
- 22,920
Kuna msichana mmoja anafanya kazi dukani kwangu. Lile duka liko mbali kidogo na lingine ambalo mara nyingi nakuwepo kumbe yule manzi kuna muda anafunga na kwenda kanisani mchana. Nilipojua nikamwambia achague kwenda kanisani au kufanya kazi na jibu nataka sasa hivi ili kama vipi tuachane kiroho safi. Naona hakuwa amezama sana akaamua kubaki kazini na upuuzi kaacha. Haya makanisa yana mchango mkubwa kwenye kuchochea umaskini.Hio pisi ni pisi kweli mkuu...wala huongopi..
Dada yangu alikwama kwenye hilo kanisa,hata umwambie nini haelewi.kila saa biashara yake imefungwa tena ile mida ya biashara. Mara mikesha mara misa za jioni..michango lukuki mpaka nikaona sasa anapotea na sina la kufanya.
Nashukuru sasa hivi amefanikiwa kuchomoka.
Nahisi pia nguvu za giza hutumika humo.
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app