kocha Nabi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2022
- 591
- 1,477
kuna siku nilikuwa maeneo ya makumbusho nikaona watu wanaotoka kwenye ibada yake, yale mavazi tu ilitosha kuthibitisha hakuna ibada.Kwanini atulii kanisani kwake ?
Waumini wake wanachungwa na nani?
Kwanini haubili mavazi?
refer 1 Timotheo 2: 9-10