Nakumbuka kwa sana, tulikuwa tunacheza peku.
Au wengine walikuwa wanafunga soksi za shule unakuwa mpira, ila nadhani pembezoni mwa miji hilo bado lipo usishangae kuona
Ha! ha! ha! ... mkuu Chatumkali wengine tulikuwa tunasema ... kupiga dochiLinaitwa SAMBI!Halafi ilikuwa marufuku kupiga doso ama ndoso!
Mkuu umenikumbusha 'chandimu'. Enzi zile - primary school.