Nani anakumbuka hii??

nyumbani walikuwa wananizuia ila natoroka au naondoka kwa nguvu kucheza mechi,halafu ilikuwa enzi za kubalehe flani hivi
 
Sawasawa kabisa nafikiri tuliishi maeneo yanayofanana na sisi kwetu iliitwa sembo......wakati mwingine kuna gombania goli.............Viatu vya chachacha (vingine mabondo) ndiyo ilikuwa fasheni ila kwenye jua kali utajuta kuvivaa!

aisee wewe kumbe nikikufuatilia naweza kukuta ni jirani yangu lol
 
boflo ... Waganda huwa wanatengeneza kutokana na majani ya migomba! ...

ball2__61952_zoom.jpg


soccerballtwine.jpg



hii si tulikuwa tunachezea 'one-touch'
 
.............
Mkuu umenikumbusha siku moja jamaa waliniwekea jiwe ndani ya mpira halafu juu mpira ukasukwa kama kawaida. Wakati napita kitaa, jamaa wakaniita nicheze na jamaa mmoja "one touch", mwanangu ile mpira umerushwa si nikaupiga kwa mbwembwe kilichonitokea ni soo ikafikia wazazi husika kupelekana polisi, na mpaka leo mguu wangu kuna kipindi unauma sana.
 
Mkuu umenikumbusha siku moja jamaa waliniwekea jiwe ndani ya mpira halafu juu mpira ukasukwa kama kawaida. Wakati napita kitaa, jamaa wakaniita nicheze na jamaa mmoja "one touch", mwanangu ile mpira umerushwa si nikaupiga kwa mbwembwe kilichonitokea ni soo ikafikia wazazi husika kupelekana polisi, na mpaka leo mguu wangu kuna kipindi unauma sana.

pole sana mkuu
 
Mkuu umenikumbusha siku moja jamaa waliniwekea jiwe ndani ya mpira halafu juu mpira ukasukwa kama kawaida. Wakati napita kitaa, jamaa wakaniita nicheze na jamaa mmoja "one touch", mwanangu ile mpira umerushwa si nikaupiga kwa mbwembwe kilichonitokea ni soo ikafikia wazazi husika kupelekana polisi, na mpaka leo mguu wangu kuna kipindi unauma sana.

Heri wewe hata wazazi walipelekana police wengine unamaliza mwenyewe hukohuko unarudi nyumbani unachechemea alafu husemi mpaka mzazi akuangalie kwa makini
 
Kweli mkuu kama watoto wa hawa mafisadt watachezea huo uchafu kweli
 
Back
Top Bottom