KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nimekumbuka kitu kimoja nikiwa katika baa moja nimeletewa chupi na chinga. Chupi za kichina. Mwisho wake nikakumbuka vyupi vya VIP nilifurahishwa na ufungaji wake katika boks (Prkg) ila nakumbuka kadhia yake kukatika ktk maungio. Kamkanda kachi. Hapo nazungumzia 80's