Nakumbuka vyote mkuu je wewe unakumbuka mashati tunaweka lebo ya soda ya Double cola???unapiga pasi inabaki picha ya chupa za Double cola au shati za ndege,Jeans za Zico,Maradona,Michel Jackson??Raba petty
Mmenikumbusha yolanda,ledygey! Na purfume zake!Zilikuwa zinabamba!
Nakumbuka vyote mkuu je wewe unakumbuka mashati tunaweka lebo ya soda ya Double cola???unapiga pasi inabaki picha ya chupa za Double cola au shati za ndege,Jeans za Zico,Maradona,Michel Jackson??Raba petty
Hizo chupi zilikuwa ni soo, ikikatika unaweza kukuta imefika shingoni kama haupo makini!!
hivi zilikuwa made in wapi?zilimtesa sana bro wangu,jamanii
kweli watu wa zamani mliishi kwa tabu, saivi ni full boxer chupi ndo nini...teh! teh! teh!