DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Humo humoUkiona haelewi, wamwambia VIPISI vya sigara...
Kuna vipisi vya treni pia
Humo humoUkiona haelewi, wamwambia VIPISI vya sigara...
Kweli bila kusahau sabuni za Rexona na GardeniaMmenikumbusha yolanda,ledygey! Na purfume zake!Zilikuwa zinabamba!
Haloo! kweli ile mikunjo kwenye shati la shule iliyopigwa pasi ilikuwa kama utando wa buibuiFreddie, Bila kuisahau hilo shati la shule mgongoni limepigwa pasi kwa mikunjo inakuwa kama kashata hivi, unakumbuka?
vp jamani na yale mafuta ya mamisi ukijipaka unafuatwa na nzi hadi unalia maana unawafukuza hadi unachoka du! Jamani nyie acheni tu!
Miaka ya 80 mwanzoni nadhani ulikuwa hata hukufikiriwa kuzaliwa! Vijeba tumejaa JF
Mwaka gani huo mkuu
Heshima yako mkuu.Miaka ya 80 mwanzoni nadhani ulikuwa hata hukufikiriwa kuzaliwa! Vijeba tumejaa JF
Hapana shaka. Mimi mwenyewe hivyo ndio vilikuwa vyupi vyangu.Lakini siku moja "VIP" iliniumbua sana nikiwa nasoma Jamhuri Primary school pale Moshi mjini, siku hiyo ilikuwa J'3 tuko mstarini kila mwanafunzi yuko smart tayari kwa ukaguzi. Enzi hizo Mwl alikuwa anakagua kwelikweli kuanzia mavazi na usafi wa mwili kwa ujumla. Siku hiyo nimetinga VIP yangu sina wasiwasi kumbe kile kikamba cha chini kimeshachoka! ile kuambiwa mguu pande! Mguu sawa! Tulia. Sasa Mwl anaanza kupita kwa mwanafunzi mmoja mmoja kwa ajili ya ukaguzi, Mmh! Mwl akiwa kwa mwanafunzi wa nne ili kunifikia mimi nikaanza kusikia kijibaridi fulani nikaona labda ni hali ya kawaida tu,Mwl kafika kwangu anaanza kunikagua kacheki viatu safari boot zile za (BORA) ziko freshi,kakagua kucha ziko safi kipindi hicho walikuwa wakikagua pia kuanzia kifuani kwenda mpaka shingoni kuona kama kuna ukurutu. Basi bana Teacher akaniamuru nifungue kishikizo cha juu cha shati, ile kufungua tu nashangaa Mwl anacheka na kuniambia wee! umevaa nini kifuani? kucheki aaah! VIP imeshapanda hadi kifuani siku nyingi! Mwl alijua ni mnyama VIP akaniambia hebu nenda katoe hicho ulichovaa,wanafunzi wenzangu waliojua ni kitu kimekwea wakaanza kunicheka.Nilikimbia nyumbani Police line na kubadilisha na kuvaa dizaini nyingine. Kiukweli vyupi vya VIP vilikuwa noma enzi hizo.Aise bado kabisaa sijategemewa kuwepo kwenye huu ulimwengu. Heshima yako mkuu.
🤣🤣🤣 dah! Mkuu hizi chupi zilkuaje ad zikikatika znapanda kifuani?????Hapana shaka. Mimi mwenyewe hivyo ndio vilikuwa vyupi vyangu.Lakini siku moja "VIP" iliniumbua sana nikiwa nasoma Jamhuri Primary school pale Moshi mjini, siku hiyo ilikuwa J'3 tuko mstarini kila mwanafunzi yuko smart tayari kwa ukaguzi. Enzi hizo Mwl alikuwa anakagua kwelikweli kuanzia mavazi na usafi wa mwili kwa ujumla. Siku hiyo nimetinga VIP yangu sina wasiwasi kumbe kile kikamba cha chini kimeshachoka! ile kuambiwa mguu pande! Mguu sawa! Tulia. Sasa Mwl anaanza kupita kwa mwanafunzi mmoja mmoja kwa ajili ya ukaguzi, Mmh! Mwl akiwa kwa mwanafunzi wa nne ili kunifikia mimi nikaanza kusikia kijibaridi fulani nikaona labda ni hali ya kawaida tu,Mwl kafika kwangu anaanza kunikagua kacheki viatu safari boot zile za (BORA) ziko freshi,kakagua kucha ziko safi kipindi hicho walikuwa wakikagua pia kuanzia kifuani kwenda mpaka shingoni kuona kama kuna ukurutu. Basi bana Teacher akaniamuru nifungue kishikizo cha juu cha shati, ile kufungua tu nashangaa Mwl anacheka na kuniambia wee! umevaa nini kifuani? kucheki aaah! VIP imeshapanda hadi kifuani siku nyingi! Mwl alijua ni mnyama VIP akaniambia hebu nenda katoe hicho ulichovaa,wanafunzi wenzangu waliojua ni kitu kimekwea wakaanza kunicheka.Nilikimbia nyumbani Police line na kubadilisha na kuvaa dizaini nyingine. Kiukweli vyupi vya VIP vilikuwa noma enzi hizo.