Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 99
rafiki alipiga chogo chemba tukicheza mpira vip ikakatika maungio alipoinuka akakuta imepenya kwenye bukta iko kifuani kama sidiria.
hiyo kali.
rafiki alipiga chogo chemba tukicheza mpira vip ikakatika maungio alipoinuka akakuta imepenya kwenye bukta iko kifuani kama sidiria.
Heeeeee makubwa haya ooh kumbe ndo sababu regam duh.Zilikuwa nzuri kwani zilikuwa zinabana vilivyo 'dudu' ndo sababu wengi wetu wa enzi hizo 'dudu' zimelalia kushoto.
Mmenikumbusha mbali mno.
Kweli hamna cha mtumba wala nini..nakumbuka shati langu la shule jeupe nikalibandika yale mastika ya'take me'nikawnda nalo shule..kibano nilichokipata ctasahau..sababu nilichapwa shule na mzee akaitwa shule akanichapa mbele ya walimu..duh tuliosoma zamani tulifaidi shule..
Zilikuwa nzuri kwani zilikuwa zinabana vilivyo 'dudu' ndo sababu wengi wetu wa enzi hizo 'dudu' zimelalia kushoto.
Mmenikumbusha mbali mno.
rafiki alipiga chogo chemba tukicheza mpira vip ikakatika maungio alipoinuka akakuta imepenya kwenye bukta iko kifuani kama sidiria.
..Bila ya kusaha mafuta ya utuli ya kupaka Yolanda.....unapaka unanukia mpaka basi...:biggrin1:ound:shati za juliana na saa za motima toka Burundi jamani hela ilikuwa na nguvu
...Bila kusahau kama ni wewe ni mvulana ndio uko std VII (LY) unachomekea shati kwa nyuma then mbele unaliachia halafu kama una nywele nyingi kidogo ili uonekane gangwe unaziweka katika mtindo matuta, chini umepiga chachacha au safari buti iliyoanza kuchakaa shuleni kwetu tulikuwa tunaita ubuyu!!Freddie, Bila kuisahau hilo shati la shule mgongoni limepigwa pasi kwa mikunjo inakuwa kama kashata hivi, unakumbuka?
rafiki alipiga chogo chemba tukicheza mpira vip ikakatika maungio alipoinuka akakuta imepenya kwenye bukta iko kifuani kama sidiria.
hapo mkuu umenikumbusha mbalisana,tulikuwa wadogo mwisho mwisho wa miaka ya 80,tulikuwa mitaa ya mwembechai,duh sikulala usiku...years pass byVipi kuhusu matukio mbalimbali ya kustajabisha eti mtu kageuka chatu buguruni!hivi hii ilikuwa kweli?mtujuze mlioweza shuhudia tukio
...Bila kusahau kama ni wewe ni mvulana ndio uko std VII (LY) unachomekea shati kwa nyuma then mbele unaliachia halafu kama una nywele nyingi kidogo ili uonekane gangwe unaziweka katika mtindo matuta, chini umepiga chachacha au safari buti iliyoanza kuchakaa shuleni kwetu tulikuwa tunaita ubuyu!!