Nani anaikumbuka filamu ya Girlfriend?

Nani anaikumbuka filamu ya Girlfriend?

iron finger

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
358
Reaction score
221
ndiyo ilianza kufungua pazia la movie za kibongo nawakumbuka baadhi ya washiriki wa filamu ile kama TID,NINA,MONALISA,BARA na BEKA MAKUKA.
 
ndiyo ilianza kufungua pazia la movie za kibongo nawakumbuka baadhi ya washiriki wa filamu ile kama TID,NINA,MONALISA,BARA na BEKA MAKUKA.

Mimi namkumbuka Sauda Simba Kilumanga alikuwa mama wa Mona katika hiyo movie.
 
hiyo movie siku wanachukua vipande pale BM salon watu walijazana sana kushangaa!kipindi hiko TID ni TID kweli
 
Mimi ata sikubahatika kuiona............
 
GK Aliigiza kama mtu wa vimwana na msanii mwenye mafanikio then akapita na Mona ili amsaidie mpenzi wake TID kutoka. AY aliigiza kama rafiki wa karibu wa GK. BUFF aliigiza kama Producer. Pia Jay moe kama Kinyozi. Big alikuwa Boss wa kaka yake TID.
 
Zuwena alafu TID alikuwa anaitwa nani vile? Dah enzi za primary hizo tukimaliza kusimuliana No retreat no surrender tunahamia kwenye girldriend na Augua! Lol

Sijui alikua anaitwa nani nishasau... ile filamu ndio ilisaidia kuleta mapinduzi katika soko la filamu
 
GK Aliigiza kama mtu wa vimwana na msanii mwenye mafanikio then akapita na Mona ili amsaidie mpenzi wake TID kutoka. AY aliigiza kama rafiki wa karibu wa GK. BUFF aliigiza kama Producer. Pia Jay moe kama Kinyozi. Big alikuwa Boss wa kaka yake TID.

Inanikumbusha mbali sana aisee.Hii move hata leo ikirudishwa kwenye CD itauza sana.. Mtu huchoki kuiangalia
 
Hivi kuna mivie iliyowahi kuuza kama girlfriend
 
Back
Top Bottom