Nani anaikumbuka filamu ya Girlfriend?

Nani anaikumbuka filamu ya Girlfriend?

Mi nilimpenda Ndende na Monalisa na yule ras alikuwa anaitwa na kweli?
 
Ile waliigiz sikuhiz wanachofany bong muv sikielewi ndio maan siangalii naangalia za mbelee nigeria only[emoji5][emoji5]
 
Ile movie bora kabisa ya Bongo. Hawa wa sasa wapambane tu na hali zao
 
Back
Top Bottom