Nani anaiharibu amani ya Tanzania ni Tundu Lissu wa CHADEMA au ni viongozi wa serikali ya CCM kwa maslahi yao binafsi?

Nani anaiharibu amani ya Tanzania ni Tundu Lissu wa CHADEMA au ni viongozi wa serikali ya CCM kwa maslahi yao binafsi?

Katika hali isiyo ya kawaida kumekuwepo na sintofahamu ya kukamatwa Mwenyekiti wa Chadema Mh. Tundu Antiphas Lissu na kufunguliwa mashtaka ya uhaini, swali ni je? nani anaharibu amani ya taifa letu Tanzania, anayetumia nguvu na kusisitiza uchaguzi uende anavyotaka yeye au yule Lissu anayesema jamani turudi mezani ili tuangalie mifumo yetu ya uchaguzi, bila shaka anayeiharibu amani ni viongozi wa CCM wanaotumia nguvu na kusisitiza uchaguzi uende wanavyotaka hawa ndio adui namba moja wa amani ya taifa letu.
Mkuu ccm ni Chama Cha Mashetani. Wanapenda Amani lakini wanaichukia Haki hadharani.
 
Katika hali isiyo ya kawaida kumekuwepo na sintofahamu ya kukamatwa Mwenyekiti wa Chadema Mh. Tundu Antiphas Lissu na kufunguliwa mashtaka ya uhaini, swali ni je? nani anaharibu amani ya taifa letu Tanzania, anayetumia nguvu na kusisitiza uchaguzi uende anavyotaka yeye au yule Lissu anayesema jamani turudi mezani ili tuangalie mifumo yetu ya uchaguzi, bila shaka anayeiharibu amani ni viongozi wa CCM wanaotumia nguvu na kusisitiza uchaguzi uende wanavyotaka hawa ndio adui namba moja wa amani ya taifa letu.
Mkuu ccm ni Chama Cha Mashetani. Wanapenda Amani lakini wanaichukia Haki hadharani.
 
We punguani sana, ni lini huyo Lissu aliwahi kutumia maneno ya hekima na busara kama hayo unayobandika hapo?? Kila akihutubia ndani ya sekunde 10 anatamka "Mapambano, Uasi, Kukinukisha" lini aliwahi kusema anataka kukaa mezani!!? Wacha likae mahabusu, ujanja wa kujipiga virisasi vya kuwindia kware umeshajulikana.
Mods ile reaction ya "dole la kati" ambayo tunaiomba mbona haifanyiwi kazi ili tuwe tunareact kwenye comments kama hizi
 
Mkuu ccm ni Chama Cha Mashetani. Wanapenda Amani lakini wanaichukia Haki hadharani.
Wanaoharibu amani ni Serikali ya CCM kwa tumia nguvu na kutaka uchaguzi uende wanavyotaka.
 
Shida kubwa sasa hivi ni MIFUMO YA UCHAGUZI isiporekebishwa kiukweli itatuletea matatizo makubwa nchini, The Silent Class Struggle reflection- by Issa Shivji
Wanaoharibu amani ni viongozi wa Serikali ya CCM wanaotumia nguvu na kutaka uchaguzi uende wanavyotaka.
 
Viongozi wa CCM ndio wanaotaka kuharibu UTULIVU.
Hawa kila kukicha wanaandaa makongamano ya kusifu na kuabudu huko DODOMA na kw8nginepo kutufanya sisi wajinga. Wengi wao hata GPA Zenyewe za kuokoteza tu
 
Nawaomba wana CCM wenzangu tukubali mabadiliko ya tume ya uchaguzi, na hata katiba nzima.
Naamini tunakubalika na wananchi.
Hofu yetu ni nini?.
 
Back
Top Bottom