Nani anafaa kuwa Jaji Mkuu,kumrithi Augustino Ramadhani?

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Nov 10, 2008
3,007
2,429
Nani anafaa kuwa Jaji Mkuu?
Christopher Mtikila anampendekeza Jaji Salum Masati. Lakini siyo vizuri kwa watu wahalifu kama Mtikila,au watu wengine ambao ni majambazi sugu, kupewa nafasi kumpendekeza Jaji Mkuu,au kumpendekeza Jaji yoyote.
Wapo watu watatu ambao wanatajwa;Othman Chande,Bernard Luanda na Stephen Bwana. Hawa wawili wa mwisho siwafahamu.
Lakini namfahamu Jaji Othman Chande. Nadhani angefaa sana kuchaguliwa kuwa Jaji Mkuu. Huyu ametumikia katika Mahakama ya Kimataifa ya Arusha,inayohusu mauaji ya kimbari ya Rwanda;ametumikia East Timor. Nadhani huyu anafaa.
And,by the way,jina lake siyo Othman Chande. Jina lake ni Mohamed Chande. Othman Chande ni kaka yake,ambaye ni Mkufunzi wa Sayansi UDSM,au alikuwa Mkufunzi wa Sayansi kule,kama sasa hayupo.
Wale wengine siwafahamu,lakini sijui wanaweza vipi kuwa bora kuliko Mohamed Chande.
 
Nani anafaa kuwa Jaji Mkuu?
Christopher Mtikila anampendekeza Jaji Salum Masati. Lakini siyo vizuri kwa watu wahalifu kama Mtikila,au watu wengine ambao ni majambazi sugu, kupewa nafasi kumpendekeza Jaji Mkuu,au kumpendekeza Jaji yoyote.
Wapo watu watatu ambao wanatajwa;Othman Chande,Bernard Luanda na Stephen Bwana. Hawa wawili wa mwisho siwafahamu.
Lakini namfahamu Jaji Othman Chande. Nadhani angefaa sana kuchaguliwa kuwa Jaji Mkuu. Huyu ametumikia katika Mahakama ya Kimataifa ya Arusha,inayohusu mauaji ya kimbari ya Rwanda;ametumikia East Timor. Nadhani huyu anafaa.
And,by the way,jina lake siyo Othman Chande. Jina lake ni Mohamed Chande. Othman Chande ni kaka yake,ambaye ni Mkufunzi wa Sayansi UDSM,au alikuwa Mkufunzi wa Sayansi kule,kama sasa hayupo.
Wale wengine siwafahamu,lakini sijui wanaweza vipi kuwa bora kuliko Mohamed Chande.

Mmmh! mkuu mbona unaingilia haki za watu wengine??

Ni vizuri ukatoa maoni yako na pia uache wengine watoe maoni yao kwa amani.

BTW huyu Jaji Chande na yule mkulu wa UWT sio ndugu?
 
Mkulu wa UWT ni nani? Simfahamu huyo Mkulu wa UWT. Siwezi kukumbuka mara moja ni nani mkuu wa UWT. Lakini sidhani kama wanahusiana na Jaji Mohamed Chande.
Kuhusu majambazi sugu kumchagua hakimu. Hili ni jambo ambalo linapaswa kulaaniwa. Hili ni jambo ambalo wanalijadili sana katika siasa za Uingereza. wahalifu hawapaswi kurusiwa kupiga kura kumchagua hakimu.
 
Nani anafaa kuwa Jaji Mkuu?
Christopher Mtikila anampendekeza Jaji Salum Masati. Lakini siyo vizuri kwa watu wahalifu kama Mtikila,au watu wengine ambao ni majambazi sugu, kupewa nafasi kumpendekeza Jaji Mkuu,au kumpendekeza Jaji yoyote.
Wapo watu watatu ambao wanatajwa;Othman Chande,Bernard Luanda na Stephen Bwana. Hawa wawili wa mwisho siwafahamu.
Lakini namfahamu Jaji Othman Chande. Nadhani angefaa sana kuchaguliwa kuwa Jaji Mkuu. Huyu ametumikia katika Mahakama ya Kimataifa ya Arusha,inayohusu mauaji ya kimbari ya Rwanda;ametumikia East Timor. Nadhani huyu anafaa.
And,by the way,jina lake siyo Othman Chande. Jina lake ni Mohamed Chande. Othman Chande ni kaka yake,ambaye ni Mkufunzi wa Sayansi UDSM,au alikuwa Mkufunzi wa Sayansi kule,kama sasa hayupo.
Wale wengine siwafahamu,lakini sijui wanaweza vipi kuwa bora kuliko Mohamed Chande.


Augustino Adeladi Mwarija
 
Nani anafaa kuwa Jaji Mkuu?
Christopher Mtikila anampendekeza Jaji Salum Masati. Lakini siyo vizuri kwa watu wahalifu kama Mtikila,au watu wengine ambao ni majambazi sugu, kupewa nafasi kumpendekeza Jaji Mkuu,au kumpendekeza Jaji yoyote.
Wapo watu watatu ambao wanatajwa;Othman Chande,Bernard Luanda na Stephen Bwana. Hawa wawili wa mwisho siwafahamu.
Lakini namfahamu Jaji Othman Chande. Nadhani angefaa sana kuchaguliwa kuwa Jaji Mkuu. Huyu ametumikia katika Mahakama ya Kimataifa ya Arusha,inayohusu mauaji ya kimbari ya Rwanda;ametumikia East Timor. Nadhani huyu anafaa.
And,by the way,jina lake siyo Othman Chande. Jina lake ni Mohamed Chande. Othman Chande ni kaka yake,ambaye ni Mkufunzi wa Sayansi UDSM,au alikuwa Mkufunzi wa Sayansi kule,kama sasa hayupo.
Wale wengine siwafahamu,lakini sijui wanaweza vipi kuwa bora kuliko Mohamed Chande.

wewe mtu ni mdini sana na sijui una faidika nini na udini wako huo,...#
mtikila ni mchungaji,leo hii unamuita mhalifu,jambazi......huyo othmani wako kwa kuwa ni muislaam ndo maana una mpendekeza ua?
nadhani anaye wateua atatumia vigezo kama vyako maana inaonekana mnafanana mawazo
 
Mkulu wa UWT ni nani? Simfahamu huyo Mkulu wa UWT. Siwezi kukumbuka mara moja ni nani mkuu wa UWT. Lakini sidhani kama wanahusiana na Jaji Mohamed Chande.
Kuhusu majambazi sugu kumchagua hakimu. Hili ni jambo ambalo linapaswa kulaaniwa. Hili ni jambo ambalo wanalijadili sana katika siasa za Uingereza. wahalifu hawapaswi kurusiwa kupiga kura kumchagua hakimu.

kura za kumchagua hakimu zinapigiwa wapi na lini?kampeni ziko wakati gani?
acheni udaku nyie
 
Mmmh! mkuu mbona unaingilia haki za watu wengine??

Ni vizuri ukatoa maoni yako na pia uache wengine watoe maoni yao kwa amani.

BTW huyu Jaji Chande na yule mkulu wa UWT sio ndugu?

1.kamponda mch.mtikila ambaye ni mtu kama yeye tu ambaye yuko huru kutoa maoni yake (huku ni kuingilia uhuru wa maoni wa mtu)

2.kumponda mchungaji na kumpendekeza muislaam ni udini ulio kithiri na naamini ndivo itakavo kuwa kwa jaji atakae teuliwa

3.kasema majambazi na wahalifu kama mtikila hawa takiwi kupewa nafasi ya kupendekeza nani awe jaji mkuu( hapo hapo yeye anapendekeza,tutajuaje kama yeye sio mchawi?)

4.mapendekezo ya nani awe jaji huwa yanafanyika lini na wapi?au yeye ni mshauri wa raisi?

5.kaleta mada tujadili (na watu wa kujadili ) au kaja kutukana na kukashifu watu hapa?

6.NI UPUUZI MTUPU JAPO TITLE LA HABARI YAKO LINA VUTIA KUANGALIA KILICHOMO NDANI
 
mkulu wa uwt ni nani? Simfahamu huyo mkulu wa uwt. Siwezi kukumbuka mara moja ni nani mkuu wa uwt. Lakini sidhani kama wanahusiana na jaji mohamed chande.
kuhusu majambazi sugu kumchagua hakimu. Hili ni jambo ambalo linapaswa kulaaniwa. Hili ni jambo ambalo wanalijadili sana katika siasa za uingereza. Wahalifu hawapaswi kurusiwa kupiga kura kumchagua hakimu.

hivi wewe ni mtanzania kweli?
Au umelewa nini?
 
Nadhani judge atakayekuwa muhimu na yule ambaye wananchi wanamhitaji ni yule ambaye atazingatia maslahi ya taifa badala ya yale ya dini yake na huyo anayewateua.
 
Back
Top Bottom