Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,429
Nani anafaa kuwa Jaji Mkuu?
Christopher Mtikila anampendekeza Jaji Salum Masati. Lakini siyo vizuri kwa watu wahalifu kama Mtikila,au watu wengine ambao ni majambazi sugu, kupewa nafasi kumpendekeza Jaji Mkuu,au kumpendekeza Jaji yoyote.
Wapo watu watatu ambao wanatajwa;Othman Chande,Bernard Luanda na Stephen Bwana. Hawa wawili wa mwisho siwafahamu.
Lakini namfahamu Jaji Othman Chande. Nadhani angefaa sana kuchaguliwa kuwa Jaji Mkuu. Huyu ametumikia katika Mahakama ya Kimataifa ya Arusha,inayohusu mauaji ya kimbari ya Rwanda;ametumikia East Timor. Nadhani huyu anafaa.
And,by the way,jina lake siyo Othman Chande. Jina lake ni Mohamed Chande. Othman Chande ni kaka yake,ambaye ni Mkufunzi wa Sayansi UDSM,au alikuwa Mkufunzi wa Sayansi kule,kama sasa hayupo.
Wale wengine siwafahamu,lakini sijui wanaweza vipi kuwa bora kuliko Mohamed Chande.
Christopher Mtikila anampendekeza Jaji Salum Masati. Lakini siyo vizuri kwa watu wahalifu kama Mtikila,au watu wengine ambao ni majambazi sugu, kupewa nafasi kumpendekeza Jaji Mkuu,au kumpendekeza Jaji yoyote.
Wapo watu watatu ambao wanatajwa;Othman Chande,Bernard Luanda na Stephen Bwana. Hawa wawili wa mwisho siwafahamu.
Lakini namfahamu Jaji Othman Chande. Nadhani angefaa sana kuchaguliwa kuwa Jaji Mkuu. Huyu ametumikia katika Mahakama ya Kimataifa ya Arusha,inayohusu mauaji ya kimbari ya Rwanda;ametumikia East Timor. Nadhani huyu anafaa.
And,by the way,jina lake siyo Othman Chande. Jina lake ni Mohamed Chande. Othman Chande ni kaka yake,ambaye ni Mkufunzi wa Sayansi UDSM,au alikuwa Mkufunzi wa Sayansi kule,kama sasa hayupo.
Wale wengine siwafahamu,lakini sijui wanaweza vipi kuwa bora kuliko Mohamed Chande.