Multdealer
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 226
- 232
Hivi ni kweli udogo wa mishahara na ufinyu wa ajira kwa walimu wa sanaa (arts), ndizo sababu pekee hupelekea
Watu kuibeza na kuichukulia poa taaluma ya ualimu?
Au kuna sababu nyingine nyuma ya pazia?
Mwenye sababu za nyuma ya pazia afunguke
Lengo: kuipa taaluma ya ualimu hadhi inayostahili
Watu kuibeza na kuichukulia poa taaluma ya ualimu?
Au kuna sababu nyingine nyuma ya pazia?
Mwenye sababu za nyuma ya pazia afunguke
Lengo: kuipa taaluma ya ualimu hadhi inayostahili