Ushauri wizara ya elimu

The next JPM

Member
Feb 22, 2023
22
44
Hope Wana Jf wote ni wazima,

Napenda kushauri wizara ya elimu, ni Wakati sasa kuruhusu, wanafunzi pekee wenye ufaulu wa daraja la kwanza tu ( kidato Cha nne na Cha sita), kuruhusiwa kusoma taaluma ya ualimu kwa level ya diploma na degree
Kwanini?
Ni wakati sasa wale ambao ni Best student wawe enrolled tu kwenye taaluma hii,
Lengo kuzalishia walimu wenye ubora,,,,,
Na wasilisha
 
Hope Wana Jf wote ni wazima,

Napenda kushauri wizara ya elimu, ni Wakati sasa kuruhusu, wanafunzi pekee wenye ufaulu wa daraja la kwanza tu ( kidato Cha nne na Cha sita), kuruhusiwa kusoma taaluma ya ualimu kwa level ya diploma na degree
Kwanini?
Ni wakati sasa wale ambao ni Best student wawe enrolled tu kwenye taaluma hii,
Lengo kuzalishia walimu wenye ubora,,,,,
Na wasilisha

Wamipeleka smart mind kwenye ualimu watakosa wakuwasaidia kusimamia na kuiba kura kwenye chaguzi za kijani,walimu ni daraja la wanasiasai mafisadi na wahuni wanatumia kwa sana kwasababu walimu ni watu wenye uwezo mdogo wa kifikra na kiuchumi.
 
Hope Wana Jf wote ni wazima,

Napenda kushauri wizara ya elimu, ni Wakati sasa kuruhusu, wanafunzi pekee wenye ufaulu wa daraja la kwanza tu ( kidato Cha nne na Cha sita), kuruhusiwa kusoma taaluma ya ualimu kwa level ya diploma na degree
Kwanini?
Ni wakati sasa wale ambao ni Best student wawe enrolled tu kwenye taaluma hii,
Lengo kuzalishia walimu wenye ubora,,,,,
Na wasilisha
Naona unam-bipu mpwayungu village

On a serious note hicho ndicho hufanyika huko nchi za Scandinavia. Google uone walipo katika dunia linapokuja suala la elimu bora!
 
Hope Wana Jf wote ni wazima,

Napenda kushauri wizara ya elimu, ni Wakati sasa kuruhusu, wanafunzi pekee wenye ufaulu wa daraja la kwanza tu ( kidato Cha nne na Cha sita), kuruhusiwa kusoma taaluma ya ualimu kwa level ya diploma na degree
Kwanini?
Ni wakati sasa wale ambao ni Best student wawe enrolled tu kwenye taaluma hii,
Lengo kuzalishia walimu wenye ubora,,,,,
Na wasilisha
Hao wamepataje hizo one, kama unahisi wamefundishwa na walimu wasio bora?
 
  • Kuna hoja hapa.
  • Natamani kupata zile picha za shule zetu ili mpate kujionea mazingira ya shule yalivyo.
 
Una uhakika gani kwamba walimu wenye ufaulu wa daraja la kwanza watakuwa bora?
Angalau tunajua walifaulu; suala la kudeliver ni zaidi ya hili. Kuhusu kupeleka ualimu watu waliofaulu A, huk Ujerumani walianza siku nyingi. Unawezaje kumchukuwa mtu mwenye ufaulu wa D amfundishe mtu apate A! Tumia kilicho bora upate kilicho bora - that was their logic
 
Back
Top Bottom