The next JPM
Member
- Feb 22, 2023
- 22
- 44
Hope Wana Jf wote ni wazima,
Napenda kushauri wizara ya elimu, ni Wakati sasa kuruhusu, wanafunzi pekee wenye ufaulu wa daraja la kwanza tu ( kidato Cha nne na Cha sita), kuruhusiwa kusoma taaluma ya ualimu kwa level ya diploma na degree
Kwanini?
Ni wakati sasa wale ambao ni Best student wawe enrolled tu kwenye taaluma hii,
Lengo kuzalishia walimu wenye ubora,,,,,
Na wasilisha
Napenda kushauri wizara ya elimu, ni Wakati sasa kuruhusu, wanafunzi pekee wenye ufaulu wa daraja la kwanza tu ( kidato Cha nne na Cha sita), kuruhusiwa kusoma taaluma ya ualimu kwa level ya diploma na degree
Kwanini?
Ni wakati sasa wale ambao ni Best student wawe enrolled tu kwenye taaluma hii,
Lengo kuzalishia walimu wenye ubora,,,,,
Na wasilisha