TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,302
- 28,016
acha uchochezi mkuu
mleta mada anajichizisha mkuu! kwenye andiko lake kaweka kanuni za kufuata wakati wa kufafanua kabla hajafika katikati ya maelezo tayari alishazivunja!
acha uchochezi mkuu
Na wewe ni great thinker.. Na umeona hiyo ni hoja ya ki great thinker? Aibu hiiKuna kipindi JF inakuwa kweli nyumba ya wataalamu na wanaotumia akili na elimu yao. Bandiko hili linawakilisha vyema uwapo wa great thinkers.
Niongeze tu kwa kusema calculations zilizotolewa hapo juu zina assume kwamba abiria hawajali uharaka wa safari ambao uko tofauti kati ya Bombardier na Boeing. Assumptions hii ikilegezwa utaona rais kadanganywa zaidi. Pia hesabu hizo zina assume kwamba gharama ya uendeshaji ndege ni mafuta tu, assumption hii nayo ikilegezwa utakubaliana nami kwamba aliyemdanganya rais hatakiwi kubaki huru mtaani achia mbali kubaki kazini. Kadhalika aliyempa rais hesabu za darasa la saba anadhani kwamba Tz ina abiria infinity ambao wanakiu ya kupanda kwenda kila mkoa Tz may be angefanya research angegundua kwamba ipo mikoa mingine hata mabasi hayaendi maana hakuna shughuli za kibiashara. Angelijuwa hili labda ununuzi wa ndege usingekuwa priority kwa sasa.
Nashangaa kwanini aliyemdanganya rais hajatumbuliwa kwa jambia au shoka!
Mkuu nadhani msingi wa hoja yako uko hapo. Kwa maelezo yako Boeng 777 inatumia galon 28.8 kwa dakika. Chanzo chako ni website inaitwa askthecaptain! Siezi kwenda mbali kusema raisi amedanganywa katika jambo ambalo liko very techical halafu hicho ndio chanzo changu cha habari.Mafuta ya ndege hupimwa kwa galoni (US Liquid gallon) ambapo galoni moja ni sawa na lita 3.7 za ujazo. Boeing 777 inatumia galoni 14.4 za mafuta kwa injini moja kwa dakika (1 lg/engine/minute). Boeing 777 ina injini mbili za "Rolls Royce trent 892" zinazotumia galoni 28.8 za mafuta kwa dakika moja (ingia hapa ). Hivyo basi kwa dakika 36 itakazotumia kutoka Dar to Songea itatumia galoni 1,036.
Ukijifanya mjuaji ujiandae kikamilifu, hakuna typing error hapo zaid ya kutojua , umeandika Boeing hiyo Airbus imekujaje hapo mbele? tofauti yako na hao unaowaita nyumbu ni kuwa wewe ni nyumbu wa mwendokasi huoni mashimoAcha kujifanya kama zmekruka kichwani, usiangalie typing error ndo uconclude , soma the meaning of thread ndg yangu,
Na pia je kuna huo uwanja wa kuweza kuhimili ndege kubwa hivyo????Hoja yako inaweza kuwa na substance. Lakini jee tunao abiria 450 wa kupanda Boeing 777 kwenda Songea Kwa wakati mmoja? Nadhani walimshauri Mkuu wa Kaya waliangalia vigezo kadhaa ikiwemo ulichokijengea hoja.
Ile ya mwanzo nilipoandika watu wakahitaji comparison. Sasa nimeweka uwiano kati ya hizo ndege mbili. Ukisoma vizuri utanielewa. Soma tena uelewe mantiki yangu.mleta mada anajichizisha mkuu! kwenye andiko lake kaweka kanuni za kufuata wakati wa kufafanua kabla hajafika katikati ya maelezo tayari alishazivunja!
I think you didn't read well the topic. Am with you, but I am against the wrong information given.Fuel Cost Winner: Bombardier
This Bombardier costs $5.65 less per nautical mile to operate than the Boeing.
Relative to Class Averages:
Turbofan-powered Narrow-body Commercial Passenger Plane: $13.07 per nautical mile
737-800: +$0.1672727273
Turboprop-powered Narrow-body Commercial Passenger Plane: $7.26 per nautical mile
Q400: +$0.335
Bombardier ni cheaper sana kui run, tumuunge mkono mh. Rais
Asante sana tena sana kwa kunielewa vizuri kabisa.Mleta mada alichofanya ni FACT CHECKING TU, na imeonekana kuwa ni kweli mkuu wa kaya kadanganywa akakurupuka na mafuta ya milioni 28 vs mafuta ya milioni moja. Wadanganyika tujenge utamaduni wa kufanya fact checkings ili tusiwe tunadanganywa kipumbavu. Hakuna ndege inayoenda Dar Songea kwa mafuta ya milioni 28 hata iwe ndege kubwa kuliko zote ya abiria. Mkuu wa kaya ulikurupuka na kudanganya wananchi wako

Hujamwelewa mtoa hoja hapingi serkali kununua bombardier.hoja yake imejikita kwenye gharama za mafuta ya bombardier kutoka dar to songea sio milioni moja kama rais alivyoambiwa ,mtoa hoja anasema achukuliwe hatua aliyemdanganya rais kwa sababu gharama za mafuta ya bombardier dar to songea ni zaidi ya milioni mojaHao abiria 400+ wanaokwenda Songea ni kina nani? Tumia akili hii nyepesi: Why send a nearly empty Boeing to Songea when a Bombardier could fit the purpose? Tatizo lenu sio ndege, ingekuwa kubwa mngeponda, sasa ni ndogo mnaponda. Mbona hamzungumzii mabehewa mapya ya kuifufua Reli ya Kati? Acheni siasa za chuki
Maneno yako ya kweli lakini mleta hoja kasema kile walichosema wao sababu kuu kununua hii ndege ni ulaji wa mafuta ila kama angesema kuwa pia sisi hatuna viwanja vikubwa mikoani vya kupokea ndege kubwa au soko sio kubwa kiasi cha kununua ndege kubwa hilo linaeleweka kabisa lakini wao walichosema ni mafuta tu kwa hiyo mleta hoja ana haki ya kuuliza swali la msingi. Tz viwanja bado na maana ya viwanja sio tu majengo pia kila ukileta ndege kubwa lazima uwe na vitendea kazi vinavyoweza kumudu ndege kubwa kama fire trucks na uwepo wa mafuta ya kutosha. mimi nakubaliana hata hiyo ndege ya watu 75 si ajabu wasijaze.Hoja yako inaweza kuwa na substance. Lakini jee tunao abiria 450 wa kupanda Boeing 777 kwenda Songea Kwa wakati mmoja? Nadhani walimshauri Mkuu wa Kaya waliangalia vigezo kadhaa ikiwemo ulichokijengea hoja.
Kazi zipi wakati mmesitisha ajirafanyeni kazi,kazi kudukua magufuli kaongea nini mpate pa kusemea