Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
b191 nenda kapeleleze vizuri ulaji wa mafuta wa boeing 777 nahisi na wewe unadanganya watu humu.
Hujui usemalo wakati mwingine ni busara kukaa kimya.unaamini utapata faina ukitembeza robo capacity ya 777 kupeleka songea hujui unapotembeza ndege kuna depreciation and maintenance. Kwani lazima kucritises kila kitu hata kama huna hoja?
nakujibu nipo kwenye ndege pole sana unaweza kujieleza nikaelewa wacha kutumia nguvu tumia busara kuelewesha siyo kashfaHujui usemalo wakati mwingine ni busara kukaa kimya.
Kama ni mpandaji wa ndege mara kwa mara ungeelewa.
hii ndio kazi basi kama hujui..fanyeni kazi,kazi kudukua magufuli kaongea nini mpate pa kusemea
Jamani usikubaliane naye moja kwa moja, comparison aliyofanya sio realistic hata kidogo. JPM alizungumzia jet kama Fastjet na bombardier sio boeng na bombardier. sasa atuletee ulinganisho wa ndege kama fastjet ambazo kiuhalisia ndio tulizonazo kwenye mazingira yetu na alinganishe sasa bombardier tuone sasa gharama zakeAisee kweli hesabu hazidanganyi, wamemdanganya Raisi
MKUU UNATAKA NA DATA ZA FAST JET?Jamani usikubaliane naye moja kwa moja, comparison aliyofanya sio realistic hata kidogo. JPM alizungumzia jet kama Fastjet na bombardier sio boeng na bombardier. sasa atuletee ulinganisho wa ndege kama fastjet ambazo kiuhalisia ndio tulizonazo kwenye mazingira yetu na alinganishe sasa bombardier tuone sasa gharama zake
Ndo kazi yake hii,unataka afanye kazi ipi tenafanyeni kazi,kazi kudukua magufuli kaongea nini mpate pa kusemea
Ili kuwamaliza 450 itabidi iende na kurudi na inaporudi kuwabeba wengine 75 inatumia mafuta pia so jumla inakuwa trip 3 za kwenda na kurudi jumla trip 6Wewe mdau mleta mada kias flan hauko sawa.kama trip moja ya Bomberdier ni abiria 75, kwenda na kurudi si abiria 150? Na ili upate hao 450 itahitaj trip 3. Au mwenzetu ulichukulia inarud na ruban tu bila abiria wala chochote? Au hiyo 1 million sio return trip?
Soma tena upate concept vizuri.Hesabu zako zinaulakini na haziko sawa achilia mbali factor zingine ambazo hujazigusia kabisa. We ndio umepotosha... mfano unaposema bei ya jet fuel per gallon ni mara mbili ya bei iliyopo USA then bei ya gallon una ifanya kuwa bei ya lita unapopiga hesabu za Q400 ni upotoshaji.
Concept yangu siyo ndege ya aina gani, ila ni takwimu zisizo sahihi za ulaji mafuta kwa ndege. Hapo ndipo tulipodanganywa.Nimesoma tena na tena sijaiona concept... zaidi ya ukosoaji usio na tija. Ulitaka tuwe na midege mikubwa kwa domestic use ili iweje? Ebu Rudia kulipitia na wewe ujione fikira zako zilivyo.
Jiuleze haya kabla....Ni watanzania wangapi na wageni wangapi hutumia usafiri wa anga nchini kwa siku? Kwa route zipi?
Aina gani ya viwanja tulivyonavyo? Vipato vya watu wetu wa ndani Vikoje? Zipi changamoto za usafiri wa anga?