NDUKI
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 3,423
- 2,414
Salaam/Shalom.
Natumai mu-wazima kabisa, kama mimi vile nilivyo pia.
Lakini huwezi kujua mtu ambaye hamjawasiliana muda mrefu sahizi anaendeleaje...? Watu wangapi hujawasiliana nao kwa kipindi kirefu sana? Je, wapo Hai au Wamekufa....? Wazima au Wanaumwa...?
Siwezi kusema kuwa INAUMIZA SANA kuona mtu anawasiliana na WATU BAKI lakini WATU WAKE WA KARIBU hata salaam hawajulii. Hata mimi hili huwa linanitokea pia.
Sio kwamba eti huwa nakosa salio la kuwapigia HAPANA...! Ila inawiwa vigumu kupoteza salio kwa ndugu ambaye ni SNITCH...! Nimeskia watu wengi tu wakisema "NI HERI YA RAFIKI KULIKO NDUGU". Sasa ndugu wa aina hii ambaye hata hakutakii MEMA hata kumsalimia muda mwengine inakuwiwa vigumu sana. Lakini pia kusahau mpaka unajikuta salio ulilojiunga linaisha hata bila ya kuwapigia watu wako wa karibu...?
Kuna watu wangu wengi tu wa KARIBU na MUHIMU nakuwa sijawasiliana nao muda mrefu sana, ila kuna siku natenga muda nawapigia wote ambao sijawasiliana nao hata mwaka mmoja au miezi kadhaa nyuma, WANA-APPRECIATE SANA.
Wewe unamkumbuka nani ambaye hujampigia muda mrefu ungependa kumpigia LEO au KESHO...?
SALAAM/SHALOM...!
Natumai mu-wazima kabisa, kama mimi vile nilivyo pia.
Lakini huwezi kujua mtu ambaye hamjawasiliana muda mrefu sahizi anaendeleaje...? Watu wangapi hujawasiliana nao kwa kipindi kirefu sana? Je, wapo Hai au Wamekufa....? Wazima au Wanaumwa...?
Siwezi kusema kuwa INAUMIZA SANA kuona mtu anawasiliana na WATU BAKI lakini WATU WAKE WA KARIBU hata salaam hawajulii. Hata mimi hili huwa linanitokea pia.
Sio kwamba eti huwa nakosa salio la kuwapigia HAPANA...! Ila inawiwa vigumu kupoteza salio kwa ndugu ambaye ni SNITCH...! Nimeskia watu wengi tu wakisema "NI HERI YA RAFIKI KULIKO NDUGU". Sasa ndugu wa aina hii ambaye hata hakutakii MEMA hata kumsalimia muda mwengine inakuwiwa vigumu sana. Lakini pia kusahau mpaka unajikuta salio ulilojiunga linaisha hata bila ya kuwapigia watu wako wa karibu...?
Kuna watu wangu wengi tu wa KARIBU na MUHIMU nakuwa sijawasiliana nao muda mrefu sana, ila kuna siku natenga muda nawapigia wote ambao sijawasiliana nao hata mwaka mmoja au miezi kadhaa nyuma, WANA-APPRECIATE SANA.
Wewe unamkumbuka nani ambaye hujampigia muda mrefu ungependa kumpigia LEO au KESHO...?
SALAAM/SHALOM...!