Nani aliyemuumba Mungu?

Nani aliyemuumba Mungu?

Kwa mtu mwenye kutafakari atajua kuwa Mungu yupo... Kwani uthibitisho Ni mwingi Sana...ila Wewe umeshaangamia ni rehema TU za Mungu ndo zinaweza kukuokoa.
Reasoning=0
unachofanya sio kunipa sababu ya kwanini unaamini unachoamini ila unanipa maneno mnayomezeshwa huko ili msitoke

(NB:sijasema siamini katka mungu ishu ni mungu yupi)
 
Nikiwa nasoma.quran Mwenyezi.Mungu hua anauliza...nimewaumba Kutoka kwenye sperm nikawapa Neema zakila Aina..nikawapa mvua, watoto..lakini Bado.mwanadamu Ni mwenye.kukufuru.

Mwenyezi Mungu ameumba mbingu na Ardhi akaumba mchana na usiku..akawashushia mitume ili muongoke
Lakini bado mnamkufuru.

Mwenyezi.Mungu ni msamehevu na Wala hamdhulumu.mja wake... Mwenyezi Mungu Ni mwenye huruma mwenyewe Mungu nI.mwenye kurehemu...hakika marudiae kwa Toba iliyo ya kweli..husamehe dhambi hata Kama Ni nyingi mfano wa bahari.
 
Jana niliua mtu
hiyo statement ya juu inaweza kuwa ukweli ila sio haki
Ona ulivyo kuwa hutumii akili, tunaeleza maana ya haki unaleta habari ambazo haziusiani na tamko hilo. Ndiyo maana nikakwambia thibitisha ya kuwa Haki si Ukweli.

Ngoja nikusaidie maana ya Ukweli ili utulize akili unapo linganisha maneno, Ukweli ni kauli au kotendo kuafikiana na hali halisi.

Usijenge hoja aua kurudia maneno mpaka uwe umeelewa nilichokiandika hapo, maana kinafidisha ulichokiandika na utakacho kiandika kuhusu jambo hili.
 
Mambo ya.kustaajabisha haya...
umejibu kama walivyomjibu mtu wa kwanza kusema dunia ndo inazunguka jua...

wao waliamini jua linazunguka dunia kwasababu waliamini ni mungu wao na linawalinda ila hawakutaka kuamini vinginevyo kwasababu tokea watoto walikua wakiaminishwa hivo
 
Reasoning=0
unachofanya sio kunipa sababu ya kwanini unaamini unachoamini ila unanipa maneno mnayomezeshwa huko ili msitoke

(NB:sijasema siamini katka mungu ishu ni mungu yupi)
Hujawai hata kuuona ukuu.wa Mungu katika maisha yako unayoishi...Yaani hakuna alichokufanyia huyu Mungu unae mdhihaki namna hii.

Usije ukamuita Mungu siku umepatwa na madhila makubwa...Maana hapo ndo huwa mnakumbuka Kuna Mungu
 
Reasoning=0
unachofanya sio kunipa sababu ya kwanini unaamini unachoamini ila unanipa maneno mnayomezeshwa huko ili msitoke

(NB:sijasema siamini katka mungu ishu ni mungu yupi)
Jaribu kukanusha haya maneno kwa ithibati na bayana, usiandike bila ithibati maana kila mtu husema anacho kitaka, tunakuja kujua mbivu na mbichi pale kale katika ithibati.

Ulisema Qur'aan ni stori zimetungwa na mtume, ila huthibitisha. Hii ni ishara ya kuwa unachokidai hukijui bali unaongozwa na ujinga.
 
Reasoning=0
unachofanya sio kunipa sababu ya kwanini unaamini unachoamini ila unanipa maneno mnayomezeshwa huko ili msitoke

(NB:sijasema siamini katka mungu ishu ni mungu yupi)
Kuna kipindi na Mimi nlikua na imani ndogo Sana juu ya Mungu...mtu akimtaja Mungu naona Kama ananipotezea muda..

Ila kwa rehema zake Mungu nikapata jumjua Mungu ..hakika kwa Akili yangu haya maisha Siwezi...Ni rehema zake Mingu TU..ndo zimenitoa huko nilikokuwa hadi Leo nipo hapa...

Napia atanitoa hapa nakunipeleka mahali palipo Bora zaidi.

Labda na Wewe ipo siku unaweza ukaamini...Nakuombea ufike hatua hiyo mkuu.
 
umejibu kama walivyomjibu mtu wa kwanza kusema dunia ndo inazunguka jua...

wao waliamini jua linazunguka dunia kwasababu waliamini ni mungu wao na linawalinda ila hawakutaka kuamini vinginevyo kwasababu tokea watoto walikua wakiaminishwa hivo
Kusoma kwako.kote ..ukawa na madegree ukaenda mwezini.. na sayari ya Mars. Ukagunudua teknologia za Hali ya juuu...
Elimu yako yooote hiii haitokusaidia kitu labda hapa duniani...lakini mbele ya Mungu hii elimu haina msaada Kama umeshindwa TU kujua lengo la kuumbwa kwako..

Utashika vyadunia utavikumbatia, utavitetea lakini utaviacha...Kama walivyoviacha wale waliopita kabla yako..

Hakika una hasara kuubwa.
 
Hujawai hata kuuona ukuu.wa Mungu katika maisha yako unayoishi...Yaani hakuna alichokufanyia huyu Mungu unae mdhihaki namna hii.

Usije ukamuita Mungu siku umepatwa na madhila makubwa...Maana hapo ndo huwa mnakumbuka Kuna Mungu

"mungu" yupi nimemdhihaki?

"mungu" yupi sijaona ukuu wake?
 
Kusoma kwako.kote ..ukawa na madegree ukaenda mwezini.. na sayari ya Mars. Ukagunudua teknologia za Hali ya juuu...
Elimu yako yooote hiii haitokusaidia kitu labda hapa duniani...lakini mbele ya Mungu hii elimu haina msaada Kama umeshindwa TU kujua lengo la kuumbwa kwako..

Utashika vyadunia utavikumbatia, utavitetea lakini utaviacha...Kama walivyoviacha wale waliopita kabla yako..

Hakika una hasara kuubwa.
sawa,wewe kwanini alikuumba?
nifumbue namm nifumbuke
 
sawa,wewe kwanini alikuumba?
nifumbue namm nifumbuke
Kusudi la kuumbwa mwadamu Ni kufanya ibada.... Kumuabudu Mwenyezi Mungu... Kumtii Mwyezi Mungu... Kufuata maamrisho Yake na. Kuacha makatazo
 
Jaribu kukanusha haya maneno kwa ithibati na bayana, usiandike bila ithibati maana kila mtu husema anacho kitaka, tunakuja kujua mbivu na mbichi pale kale katika ithibati.

Ulisema Qur'aan ni stori zimetungwa na mtume, ila huthibitisha. Hii ni ishara ya kuwa unachokidai hukijui bali unaongozwa na ujinga.
siwezi kukanusha maneno yangu.
 
Ona ulivyo kuwa hutumii akili, tunaeleza maana ya haki unaleta habari ambazo haziusiani na tamko hilo. Ndiyo maana nikakwambia thibitisha ya kuwa Haki si Ukweli.

Ngoja nikusaidie maana ya Ukweli ili utulize akili unapo linganisha maneno, Ukweli ni kauli au kotendo kuafikiana na hali halisi.

Usijenge hoja aua kurudia maneno mpaka uwe umeelewa nilichokiandika hapo, maana kinafidisha ulichokiandika na utakacho kiandika kuhusu jambo hili.
nahisi kama napoteza muda wangu eniwei ngoja nijaribu

haki na ukweli ni vitu viwili tofarent
haki inategemea ukweli ili iwe haki lakini ukweli hautegemei haki

haki inategemea mawazo na imani ya mtu, watu,jamii,dini,nchi nk. nk.
mfano: kubadili dini ni haki ya mtz ila sio haki ya msaudi
 
Sasa mbona bado hujajibu kama nilichosema na kufundisha, kwamba katika base ten math 1 + 1 = 1, kina mantiki au hakina mantiki?
Nimekujibu hivi: sheria ya base ten math inasemaje. Au hiyo base ten math haina sheria? Bado tu hujafahamu?

Nasisitiza, base ten math ina sheria inayoiongoza.

Hivyo tutaona hiyo sheria inasemaje na hiki unachosema na kufundisha: 1+1= 1 kikoje. Ikikubalika na sheria ya base ten math tutakubali kuna mantiki na ikikataa hakuna mantiki.

Sasa hadi hapo hujajua tu? Au unataka ufundishwe kama mtoto mdogo?

Niseme, nimeona haya kwako: uwezo wako wa ufahamu ni mdogo sana hivyo umepotoka. Huwezi kufafanua mambo.
 
Hujajibu swali langu. Hata kama sijaelewa, kutonijibu jwako hakunieleweshi.

Intellectual knowledge ni nini na sensual knowledge ni nini na unazitofautushaje?

Hujajibu swali hili.
Unajinasibu kama unaelewa. Ndivyo unavyojibainisha kwa wafuasi wako humu!

Kwa mtu anayejibainisha hivi anashindwaje kujua intellectual knowledge ni nini na sense knowledge ni nini. Inasikitisha!

Niseme kidogo kuhusu sense knowledge.

Nafahamu unafahamu mfumo wa fahamu wa mtu.

Hapa nazungumzia milango mitano ya fahamu yaani macho, masikio, ulimi, ngozi na pua, na mlango wa kati wa fahamu yaani ugwemgongo, uti wa mgongo na ubongo.

Hii milango miwili ndiyo inayohusika na kupokea, kuchakata, kupeleka na kutafsiri jambo au taarifa zinazoendelea nje na ndani ya mwili. Hii ni kadiri ya baiolojia

Hivyo, hii milango miwili yaani milango mitano ya fahamu (sense organs) na mlango wa kati wa fahamu wa mtu (human central nervous system) ndiyo inahusika na ufahamu.

Nitaeleza kuhusu ufahamu, ikibidi.

Kwa mfano, mlango wa fahamu wa sikio ni kiungo (organ) inayopokea, chakata na kupeleka taarifa au jambo. Vivyo hivyo kwa milango yote ni viuongo kamilifu kadiri ya kazi yake.

Ndiyo katika utaratibu huu (picha ndogo tu ambayo nimeieleza) wa milango ya fahamu yaani milango mitano ya fahamu na mlango wa kati wa fahamu wa mtu hufafanuliwa kama sense knowledge.
 
Back
Top Bottom