Kosa lako ni kwamba unakosa uelewa.
Mantiki ni kipengee cha sayansi; hivyo ni sayansi.
Sayansi haya ni maarifa, kwanza yanayokua pia yanayochunguza "Kweli zilizobainishwa", ambazo bado hazijathibitishwa.
Kwahiyo "kile kinachosemwa; neno, wazo au kinachofundishwa": au ni kweli au siyo kweli, kinakuwa mantiki kwasababu mantiki ndiyo inashughulika na hayo yote.
Kama kipengee cha sayansi; hivyo nacho ni sayansi, kile kinachosemwa; neno, wazo au kinachofundishwa kinapothibitika hakiwi tena mantiki, ila kinakuwa kweli.
Jambo lililothibitika kisayansi haliwi tena suala au jambo la sayansi, bali huwa kweli/ ukweli.
Kukinzana kwa mambo (contradiction) ndiyo mantiki yenyewe. Kinyume chake hakiwi mantiki, bali kinakuwa kweli.