- Thread starter
- #801
Umejuaje hili ?Kama mungu angekuwepo hata hayo mabishano yasingekuwepo majibu yote tungeyapata in system
Umejuaje hili ?Kama mungu angekuwepo hata hayo mabishano yasingekuwepo majibu yote tungeyapata in system
Mungu haja zaa wala haja zaliwa kwnye kitab kitakatf anasemaThe question: "If God is the creator, then who created the creator?" is illegitimate because by definition, the Creator is uncreated. He is eternal, without beginning, without end and all affairs return back to Him: (وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلْمُنتَهَىٰ) "And that to your Lord is the return (of all beings and affairs) (and of all perfections in attributes)." (53:42).
Thus to ask who or what created something that is uncreated is the way of:
a) an ignorant person devoid of intellect,
b) a lying deceiver, a sophist.
Note : Maelezo haya mafupi nime "copy" na ku "paste" toka kwenye tovuti iitwayo "www.aboutatheism.net", mnaweza tembelea huko mpate faida.
Tujadili hili, kwa wale wote ambao huuliza swali hilo, waje watuambie kwanini wanauliza swali hilo.
Ahsante.
Jurjani (Zurri)
In Greek mythology there are many gods. They are born but immortal. Which God are you talking here. A Muslim God (Allah) or Christian God (Jesus)?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama ni jibu la swaliWarumi 11
33 Jinsi utajiri wa Mungu ulivyo mkuu! Hekima yake na maarifa yake hayana mwisho. Njia zake na maamuzi yake hayachunguziki!
34 Kwa maana ni nani amepata kufahamu mawazo ya Mungu au kuwa mshauri wake?
35 Au ni nani amewahi kumpa cho chote ili arudishiwe?
36 Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake na vipo kwa ajili yake na vyote vinadumu kwake. Utukufu ni wake milele. Amina.
Sent using Jamii Forums mobile app
The question: "If God is the creator, then who created the creator?" is illegitimate because by definition, the Creator is uncreated. He is eternal, without beginning, without end and all affairs return back to Him: (وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلْمُنتَهَىٰ) "And that to your Lord is the return (of all beings and affairs) (and of all perfections in attributes)." (53:42).
Thus to ask who or what created something that is uncreated is the way of:
a) an ignorant person devoid of intellect,
b) a lying deceiver, a sophist.
Note : Maelezo haya mafupi nime "copy" na ku "paste" toka kwenye tovuti iitwayo "www.aboutatheism.net", mnaweza tembelea huko mpate faida.
Tujadili hili, kwa wale wote ambao huuliza swali hilo, waje watuambie kwanini wanauliza swali hilo.
Ahsante.
Jurjani (Zurri)
Rekebisha swali lako kwanza, sababu dhamiri ya swali "nini" haikai katika Jina au Sifa ya chenye Elimu.Tueleze Mungu ni nini na thibitisha Mungu yupo kweli.
Kwanza ulithibitisha ya kuwa huyo aliyemtokea ni Malaika ?Mungu ni halisi na si falsafa. The latter is just a human invention. Kuna mtu mmoja aliwahi kujiwa na Malaika wa Bwana na akaambiwa kuwa atamzaa mtoto Samson, mnadhiri wa Mungu. Mtu huyu akataka kujua jina la mtu aliyekuwa anampa maelekezo haya na badala ya swali lake kujibiwa, akajibiwa kwa jibu swali: "why do you want to know my name? It is beyond understanding." Naipenda sana hii statement, na kwa lugha hiyo!
.Tueleze Mungu ni nini na thibitisha Mungu yupo kweli.
Rekebisha swali lako kwanza, sababu dhamiri ya swali "nini" haikai katika Jina au Sifa ya chenye Elimu.
Kwahiyo ukirekebisha swali, nitakujibu kwa swali lilo sahihi.
Nipo ...
Tueleze Mungu ni nini na thibitisha Mungu yupo kweli.
Tueleze Mungu ni nini na thibitisha Mungu yupo kweli.Ukimpata aliyemtengeneza ,huyo ndiye Mungu
Sijakuelewa unapoandika "dhamira ya swali "nini" haikai katika Jina au Sifa ya chenye Elimu.Rekebisha swali lako kwanza, sababu dhamiri ya swali "nini" haikai katika Jina au Sifa ya chenye Elimu.
Kwahiyo ukirekebisha swali, nitakujibu kwa swali lilo sahihi.
Nipo ...
Kuhusu swali hili: Mungu ni nini? Mungu ni uwepo wa hali ya juu yenye akili.Tueleze Mungu ni nini na
Umejibu sehemu moja ya swali, nyingine umeiruka.Kuhusu swali hili: Mungu ni nini? Mungu ni uwepo wa hali ya juu yenye akili.
Kumbe, uwepo wa hali ya juu yenye akili ndiyo huitwa Mungu.
Kwa sababu ninataka utafakari kutoka na jibu la swali la kwanza.Umejibu sehemu moja ya swali, nyingine umeiruka.
Kwa nini?
Jibu lako lina assumption zaidi ya fact.Kwa sababu ninataka utafakari kutoka na jibu la swali la kwanza.