Nani aliyemuumba Mungu?

Nani aliyemuumba Mungu?

Kuna juha mmoja huko anatamani kusema allah ndio alimuumba mungu
 
The question: "If God is the creator, then who created the creator?" is illegitimate because by definition, the Creator is uncreated. He is eternal, without beginning, without end and all affairs return back to Him: (وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلْمُنتَهَىٰ) "And that to your Lord is the return (of all beings and affairs) (and of all perfections in attributes)." (53:42).

Thus to ask who or what created something that is uncreated is the way of:
a) an ignorant person devoid of intellect,
b) a lying deceiver, a sophist.

Note : Maelezo haya mafupi nime "copy" na ku "paste" toka kwenye tovuti iitwayo "www.aboutatheism.net", mnaweza tembelea huko mpate faida.

Tujadili hili, kwa wale wote ambao huuliza swali hilo, waje watuambie kwanini wanauliza swali hilo.

Ahsante.

Jurjani (Zurri)
Mungu haja zaa wala haja zaliwa kwnye kitab kitakatf anasema
 
Kwanz kabla ya kujiuliza hilo swali jiulize wewe unamjua Mungu au ndio unamsikia tuu
 
Warumi 11

33 Jinsi utajiri wa Mungu ulivyo mkuu! Hekima yake na maarifa yake hayana mwisho. Njia zake na maamuzi yake hayachunguziki!

34 Kwa maana ni nani amepata kufahamu mawazo ya Mungu au kuwa mshauri wake?

35 Au ni nani amewahi kumpa cho chote ili arudishiwe?

36 Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake na vipo kwa ajili yake na vyote vinadumu kwake. Utukufu ni wake milele. Amina.



Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama ni jibu la swali
 
The question: "If God is the creator, then who created the creator?" is illegitimate because by definition, the Creator is uncreated. He is eternal, without beginning, without end and all affairs return back to Him: (وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلْمُنتَهَىٰ) "And that to your Lord is the return (of all beings and affairs) (and of all perfections in attributes)." (53:42).

Thus to ask who or what created something that is uncreated is the way of:
a) an ignorant person devoid of intellect,
b) a lying deceiver, a sophist.

Note : Maelezo haya mafupi nime "copy" na ku "paste" toka kwenye tovuti iitwayo "www.aboutatheism.net", mnaweza tembelea huko mpate faida.

Tujadili hili, kwa wale wote ambao huuliza swali hilo, waje watuambie kwanini wanauliza swali hilo.

Ahsante.

Jurjani (Zurri)

Mungu ni halisi na si falsafa. The latter is just a human invention. Kuna mtu mmoja aliwahi kujiwa na Malaika wa Bwana na akaambiwa kuwa atamzaa mtoto Samson, mnadhiri wa Mungu. Mtu huyu akataka kujua jina la mtu aliyekuwa anampa maelekezo haya na badala ya swali lake kujibiwa, akajibiwa kwa jibu swali: "why do you want to know my name? It is beyond understanding." Naipenda sana hii statement, na kwa lugha hiyo!
 
Tueleze Mungu ni nini na thibitisha Mungu yupo kweli.
 
Tueleze Mungu ni nini na thibitisha Mungu yupo kweli.
Rekebisha swali lako kwanza, sababu dhamiri ya swali "nini" haikai katika Jina au Sifa ya chenye Elimu.

Kwahiyo ukirekebisha swali, nitakujibu kwa swali lilo sahihi.

Nipo ...
 
Mungu ni halisi na si falsafa. The latter is just a human invention. Kuna mtu mmoja aliwahi kujiwa na Malaika wa Bwana na akaambiwa kuwa atamzaa mtoto Samson, mnadhiri wa Mungu. Mtu huyu akataka kujua jina la mtu aliyekuwa anampa maelekezo haya na badala ya swali lake kujibiwa, akajibiwa kwa jibu swali: "why do you want to know my name? It is beyond understanding." Naipenda sana hii statement, na kwa lugha hiyo!
Kwanza ulithibitisha ya kuwa huyo aliyemtokea ni Malaika ?

Habari hizi tunazipata katika kitabu gani ?
 
Rekebisha swali lako kwanza, sababu dhamiri ya swali "nini" haikai katika Jina au Sifa ya chenye Elimu.

Kwahiyo ukirekebisha swali, nitakujibu kwa swali lilo sahihi.

Nipo ...
Sijakuelewa unapoandika "dhamira ya swali "nini" haikai katika Jina au Sifa ya chenye Elimu.

Swali lina dhamira au anayeuliza swali ndiye ana dhamira?

Rekebisha kunitaka nirekebishe swali!
 
Kuhusu swali hili: Mungu ni nini? Mungu ni uwepo wa hali ya juu yenye akili.
Kumbe, uwepo wa hali ya juu yenye akili ndiyo huitwa Mungu.
Umejibu sehemu moja ya swali, nyingine umeiruka.

Kwa nini?

Thibitisha Mungu yupo.

Akili ni nini?

Mtawala anayeweza kuwatawala watu milioni sitini na kuwatuliza kwa kuua wengi ana akili kwa sababu kaweza kuwatawala? Au hana akili kwa sababu anawaua raia wake?
 
Kwa sababu ninataka utafakari kutoka na jibu la swali la kwanza.
Jibu lako lina assumption zaidi ya fact.

Thibitisha Mungu yupo.

Akili ni nini?

Mtawala anayeweza kuwatawala watu milioni sitini na kuwatuliza kwa kuua wengi ana akili kwa sababu kaweza kuwatawala? Au hana akili kwa sababu anawaua raia wake?
 
Back
Top Bottom