Nani aliyemuumba Mungu?

1.Define Mungu ni nini.

2.Thibitisha Mungu yupo.
 
Nishasema "pembetatu duara ipo" bila uthibitisho.

Nishasema "kisichopo kipo" bila uthibitisho.

Wewe unajua tofauti ya "huwezi" na "hutakiwi"?

Kiswahili tu kinakupiga chenga, unataka kurukia mijadala ya falsafa za Mungu na mantiki ya kina?

1. Define Mungu ni nini.

2. Thibitisha Mungu yupo.
 
Haya jibu sasa kuwa huwezi kuthibitisha Hakuna Mungu au unaweza ila hutakiwi kuthibitisha?
 
Haya jibu sasa kuwa huwezi kuthibitisha Hakuna Mungu au unaweza ila hutakiwi kuthibitisha?
Huyo haa uwezo wa kujibu hilo swali wala hawakuwahi kujibu hilo,hapo anapoteza muda tu. Ukitaka kuona hivi vituko hata wakubwa zao wanazo hizi tabia msome Richard Dawkins katika kitabu chake "The God Delusion",utacheka mno, au soma kitabu kiitwacho "Why Evolution is True" cha Jerry Coyne. Hawajui kujibu hoja hawa zaidi ya kucheza na maneno na kupoteza muda.

Mimi ndio maana huwa kuna maswali nawauliza lengo sio kupata majibu kwao, bali kuwaonyesha ujinga wao ulipo.

Wanafanana sasa hawa jamaa.
 

GTFO
 
Ukiwachallange uelewa wao katika hiyo misimamo yao ndio unaona walivyoweupe, ndio maana hawataki kuulizwa maswali wanataka waulize wao wapinge basi.
 
Ukiwachallange uelewa wao katika hiyo misimamo yao ndio unaona walivyoweupe, ndio maana hawataki kuulizwa maswali wanataka waulize wao wapinge basi.
Hii ndio tabia yao sasa.
 
Ukiwachallange uelewa wao katika hiyo misimamo yao ndio unaona walivyoweupe, ndio maana hawataki kuulizwa maswali wanataka waulize wao wapinge basi.
Niulize mimi maswali...naona mnapeana moyo
 
Kwa nini una chuki kwa watu wasiomuamini Allah?
Sijauliza hilo swali, bali nimewasilisha swali la Wajinga fulani, ambao huwa wanajiona wana akili na kufikiria sana kuliko wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…