maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,806
- 2,349
1.Waasisi wa chaso vyuoni ni juliana shonza, mtela mwampamba na joseph ludovick, na hawa wote wametoswa chadema, make your own mind
2. Ubaguzi mkubwa unaoendelea ndani ya chadema, kuna baadhi ya watu ni wapenzi wa viongozi ie wanapendwa wakati wengine hawapendwi. Mf rejea maelezo na tuhuma za makam mwenyekiti wa bavicha juliana shonza kwa viongozi wa juu wa chadema baada ya kufukuzwa uongozi bavicha.
3. Matumizi mabaya ya resources za bavicha ambapo wachche wamezihodhi
4.kuishiwa mbinu mpya viongozi wa chadema waliopo madarakani
5.viongozi wa chadema waliopo madarakani kupoteza mvuto na ushawishi
6.kukumbatia uhafidhina
7.siasa za utapeli na ulaghsi na vurugu mf. Chaso udom mwaka jana waliandamanishwa hadi bungeni, mambo yalipowawia ugumu, viongozi wa chadema waliokuwa wanawahamasisha kugoma wakazima simu na kupoteza mawasiliano na chaso udom, vijanabwakafukuzwa masomo
umetoa povu nyingi sana umeshindwa kutofautisha uwezo wa mtu na kilema chake kama unaendekeza kilema chako kikutawale kuliko kutumia akili uliyojaliwa na mwenyezi mungu lazima utapata shida sana duniani huo ndi ukweli. kwa sababu wameanzisha chaso waachwe hata kama wamefanya makosa makubwa? kama ndio unavyofikiri wewe ni ----- kabisa na utapata taabu sana.