Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,360
INAKUFA VIPI WANACHAMA KUISHA AU HARAKATI ZA WAZI?HEMBU SIKU MOJA DR. SLAA AENDE PALE KWA KIPINDI MAALUMU AU MYIKA AU MBOWE HALAFU TUANGALIE CDM IPO WAPI KTK MIOYOYO YA WANAFUNZI...CCM kila maamuzi wanabugi.....sijui watajuaje nguvu ya CDM kwa akili hizi..wanasubiri surprise
Inakuwaje uongozi wa juu cdm haukagui uhai wa chama hapo udsm? Kuna mmoja ameuliza huko juu, wanafunzi vyuo vikuu hawataki kupiga kura? mbona kimya ktk mpango mzima wa kujiandikisha kitabu cha wapiga kura.. .mtafanyiwa ya 2010 ( vyuo vinafungwa siku tatu, mnabaki ubungo na viunga vyake na viparata vyenu....vya Tandaimba, gezaulole na .. ...havina kazi tena)
CDM.....janja ya ccm mnaiona kupitia kitabu cha wapiga kura? Tunataka matamko rasmi na nini tunafanya kuelekea October 2014-15.z