Hata ukiniita mjinga hauwezi kuiokoa Chadema kuelekea kuzimu.
Kuzimu mara mbili kaka!!!!CDM kusney wamebaki WACHAGA tu.
Hata ukiniita mjinga hauwezi kuiokoa Chadema kuelekea kuzimu.
uchaguzi wa kumpata Rais wa serikali ya wanafunzi udsm- DARUSO unafanyika keshokutwa jumatatu huku upinzani wa mkali wa miaka ya nyuma baina ya vyama vya siasa ukionekana kufifia sana, itakumbukwa kuwa miaka ya nyuma umoja wa wanafunzi wa chadema- chaso walikuwa wakitoana jasho vilivyo na vijana wa uvccm kwenye nyakati kama hizi lakini tangu kutoweka kwa kizazi cha kina Silinde, Owawa, Nassari Na Makamanda Wengine Kwenye 2009/2010 Basi Uvccm Imeonekana Kutawala Kabisa Siasa Za Udsm,. mfano mzuri ni serikali inayomaliza muda wake chini ya rais Kisanko Na Baraza Lake lote la mawaziri. pia kwasasa wagombea wote watatu Wa Urais Gibson, Nickson Na Mboya ni makada wa chama cha mapinduzi.
tathmini iliyofanywa na uvccm inaonyesha kuwa makada wake pia wameshinda asilimia 85 ya nafasi za ubunge kwenye college zote 10 zinazounda udsm!!!
najiuliza sana ni nani aliyeiua CHADEMA hapa udsm? mahali ilipokuwa ikitamba kuwa inaungwa mkono na wasomi? chaso ipo kweli? Gs Wa bavicha Munishi Na Heche Mpo Kweli???
Usishangae sana Chadema mbona imekufa nchi nzima!. Sababu ni ile tekateka yao, watu hawana inani nao tena
Kwani Migulu yuko cdm?
upuuzi kabisa. unatuletea habari za uongozi wa viranja mashuleni kwenye jukwaa la siasa?
upuuzi kabisa huu.
uchaguzi wa kumpata Rais wa serikali ya wanafunzi udsm- DARUSO unafanyika keshokutwa jumatatu huku upinzani wa mkali wa miaka ya nyuma baina ya vyama vya siasa ukionekana kufifia sana, itakumbukwa kuwa miaka ya nyuma umoja wa wanafunzi wa chadema- chaso walikuwa wakitoana jasho vilivyo na vijana wa uvccm kwenye nyakati kama hizi lakini tangu kutoweka kwa kizazi cha kina Silinde, Owawa, Nassari Na Makamanda Wengine Kwenye 2009/2010 Basi Uvccm Imeonekana Kutawala Kabisa Siasa Za Udsm,. mfano mzuri ni serikali inayomaliza muda wake chini ya rais Kisanko Na Baraza Lake lote la mawaziri. pia kwasasa wagombea wote watatu Wa Urais Gibson, Nickson Na Mboya ni makada wa chama cha mapinduzi.
tathmini iliyofanywa na uvccm inaonyesha kuwa makada wake pia wameshinda asilimia 85 ya nafasi za ubunge kwenye college zote 10 zinazounda udsm!!!
najiuliza sana ni nani aliyeiua CHADEMA hapa udsm? mahali ilipokuwa ikitamba kuwa inaungwa mkono na wasomi? chaso ipo kweli? Gs Wa bavicha Munishi Na Heche Mpo Kweli???
hata hivyo siku hizi UDSM hata wenye 111 advance wanachukuliwa...pia imepunguza mvuto wa Chadema hapo.
Hujui unachoongea. kma ni kweli uvccm ndio wanarun siasa za udsm ni jambo jema naona vurugu zimepungua sasa hadi chuo kinapata mda wa kufanya maswala ya taaluma. Kuwa chuo cha 4 africa sio lelemama
1.Waasisi wa chaso vyuoni ni juliana shonza, mtela mwampamba na joseph ludovick, na hawa wote wametoswa chadema, make your own mind
2. Ubaguzi mkubwa unaoendelea ndani ya chadema, kuna baadhi ya watu ni wapenzi wa viongozi ie wanapendwa wakati wengine hawapendwi. Mf rejea maelezo na tuhuma za makam mwenyekiti wa bavicha juliana shonza kwa viongozi wa juu wa chadema baada ya kufukuzwa uongozi bavicha.
3. Matumizi mabaya ya resources za bavicha ambapo wachche wamezihodhi
4.kuishiwa mbinu mpya viongozi wa chadema waliopo madarakani
5.viongozi wa chadema waliopo madarakani kupoteza mvuto na ushawishi
6.kukumbatia uhafidhina
7.siasa za utapeli na ulaghsi na vurugu mf. Chaso udom mwaka jana waliandamanishwa hadi bungeni, mambo yalipowawia ugumu, viongozi wa chadema waliokuwa wanawahamasisha kugoma wakazima simu na kupoteza mawasiliano na chaso udom, vijanabwakafukuzwa masomo
Tatizo chadema hawabishani tena kwa hoja za ukweli bali hoja za kufikirka.
Hivi inahitaji digirii kujua umuhimu wa Dr.Kitilya na Zito kwenye siasa za Vyuo?