Nani aliyeiua CHADEMA chuoni UDSM?

Nani aliyeiua CHADEMA chuoni UDSM?

Kuna agizo la kufukuzwa mwanachuo yeyote anayejihusisha na upinzani hapa chuo kikuu.Agizo hilo lilitoka ccm.Wanachuo wengi kwa kuogopa kufukuzwa wameachana na siasa za wazi hapo chuoni.Lakini mioyoni mwao wamejaza imani ya Chadema.Na mimi ni mmoja wao.Nawaambia ccm tutaonana mitaani,mwaka huu namaliza chuo na baada ya hapo mtajua nnyakyala ni nani ndani ya Chadema.
 
Njoo nikufundishe kitu we dada..... kama hujui mimi nimekulia UDSM academically.... nenda CONAS,CASS, COET na COED.... angalia walioingia na 3 sasa na miaka ya nyuma acha ushabiki we bint.... haya nenda kamchemshie mw..guru maji ya kuoga upate kula.... utakuwa mtumwa hadi siku ya mwisho... namuhurumia Mungu wako wa duniani

Umekulia udsm unaaandika hivi?? Nina binti yangu anasoma chekechea anakuzidi kufikiri
 
Kama Lema ndiyo mshauri mkuu wa chairman What do you expect?? Kuwafitini ZZK na Dr Kitila kumegharimu sana CDM. Anyway sikio la kufa.
 
Syo UDSM tu vyuo vingi CHADEMA inaishiwa nguvu kila kukicha
 
Taja hao viongizi kutoka vyuo vingine nithibitishe.

wanaua chadema kwa wakaraka wao unaitwa mwongozo ambao umesababisha mzozo hapa iringa mpaka basi. hawa jamaa hawana mpango na chama kabisa vijana wanajikokota
 
akili za ki-uvccm na ki-bavicha ni majanga kwa taifa hili. ewe mungu tuepushie mbali na janga hili.

wewe ndio janga kubwa kama vijana hawafanyi siasa wanasiasa unawapata wapi huna akili kabisa ondoka hapa hapa great thinkers hufai kuwa hapa nenda face book ndio saizi yako.
 
Kuna agizo la kufukuzwa mwanachuo yeyote anayejihusisha na upinzani hapa chuo kikuu.Agizo hilo lilitoka ccm.Wanachuo wengi kwa kuogopa kufukuzwa wameachana na siasa za wazi hapo chuoni.Lakini mioyoni mwao wamejaza imani ya Chadema.Na mimi ni mmoja wao.Nawaambia ccm tutaonana mitaani,mwaka huu namaliza chuo na baada ya hapo mtajua nnyakyala ni nani ndani ya Chadema.

ndio maana nimeandika thread moja inasema kizazi hiki hakiwezi kuleta mageuzi tusidanganyane. nasema hivyo kwa kuwa vijana wanaogopa sana udom wamefyata mpaka basi walikuwa juu.
[h=1][/h]
 
CDM hawana chao siyo tu vyuoni hata kwa wananchi! Mbio za sakafuni ndio zimeishia sakafuni!

CDM ni wazee wa program zisizokuwa na tija kwa mfano operation sangara, Kimbunga, M4C na sasa chadema ni msingi! Hizi zote ni geresha tu na sasa nasikia kuna nyingine inakuja inaitwa Kaskazini kwanza!

Chukua hatua, chukia chagadema
 
Umekulia udsm unaaandika hivi?? Nina binti yangu anasoma chekechea anakuzidi kufikiri

Okay kama huyo mtoto wako ananizidi kufikiri ni sawa...but if u want to questions my IQ ability...is no issue...waulize maprofesa walionipa Upper second Bsc. molecular biology and Biotech,2011 UDSM...... huyo mwanao akifika hapo mshukuru mungu.
 
vijana wapo na wanaendelea na kazi,mfumo wa chuo ndio tatizo
 
Mtakesha humu kuongea maneno yasiokuwa na maana , CHADEMA haitakufa kwa mtindo huo, Mbona hatuzungumuzii UKAWA INAVYOITOA JASHO SERIKALI, Ukawa ni CHADEMA , NCCR NA CUF , hivi mmeshindwa kuelewa kuwa kadiri serikali inavyozidi kuboronga wenye akili wote matumaini yako upinzani ?
Hata ukiniita mjinga hauwezi kuiokoa Chadema kuelekea kuzimu.
 
wewe ndio janga kubwa kama vijana hawafanyi siasa wanasiasa unawapata wapi huna akili kabisa ondoka hapa hapa great thinkers hufai kuwa hapa nenda face book ndio saizi yako.
akili za ki-uvccm na ki-bavicha ni majanga kwa taifa hili. period.
 
Back
Top Bottom