kingukitano
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,971
- 497
Chadema sio chuoni tuu,juzi nilikua mkoa wa singida kijiji cha Ititi,wazee waliokua chadema wanakwambia hawana time tena Na walaghai hawa
uchaguzi wa kumpata Rais wa serikali ya wanafunzi udsm- DARUSO unafanyika keshokutwa jumatatu huku upinzani wa mkali wa miaka ya nyuma baina ya vyama vya siasa ukionekana kufifia sana, itakumbukwa kuwa miaka ya nyuma umoja wa wanafunzi wa chadema- chaso walikuwa wakitoana jasho vilivyo na vijana wa uvccm kwenye nyakati kama hizi lakini tangu kutoweka kwa kizazi cha kina Silinde, Owawa, Nassari Na Makamanda Wengine Kwenye 2009/2010 Basi Uvccm Imeonekana Kutawala Kabisa Siasa Za Udsm,. mfano mzuri ni serikali inayomaliza muda wake chini ya rais Kisanko Na Baraza Lake lote la mawaziri. pia kwasasa wagombea wote watatu Wa Urais Gibson, Nickson Na Mboya ni makada wa chama cha mapinduzi.
tathmini iliyofanywa na uvccm inaonyesha kuwa makada wake pia wameshinda asilimia 85 ya nafasi za ubunge kwenye college zote 10 zinazounda udsm!!!
najiuliza sana ni nani aliyeiua CHADEMA hapa udsm? mahali ilipokuwa ikitamba kuwa inaungwa mkono na wasomi? chaso ipo kweli? Gs Wa bavicha Munishi Na Heche Mpo Kweli???
tatizo sio kufa tu kwa chadema udsm,wanafunnzi wengi hawaelewi umuhimu wa uongozi bora kwa ngazi ya chuo,hawaelewi nchi inakwenda vipi,mijadala ya katiba na mambo ya msingi inafanyika vijweni tu,ukumbi wa nkurumah umekuwa wa mikutano tu na si wanafunzi kukutana na kujadili mambo ya msingi,kazi ya wanafunzi imekua ni kujadii barclays premier league na kilimanjaro awards.mchango wa wasomi kwa nchi unazidi kupungua.
Ni hivi, ukigundulika we ni Chadema ni ngumu kupitishwa na utawala kugombea pia ni rahisi kufukuzwa chuo kama kutatokea tatzo hata kama huhusiki. Ukiwa upinzani maisha yako ya kisiasa yatakua magum sana hapo Udsm.
UDSM sasa imebaki jina tu waliopo ni vilaza watupu waliofeli wakanusuriwa na TCU. Sijisikii fahari kuwa nilisoma hapo miaka ya nyuma.
Tatizo chadema hawabishani tena kwa hoja za ukweli bali hoja za kufikirka.
Hivi inahitaji digirii kujua umuhimu wa Dr.Kitilya na Zito kwenye siasa za Vyuo?
Acha kuongea kama mshabiki wa ngumi.....UDSM imekuwa chuo cha 4 Africa kwa kuongozwa na UVCCM? kwanini CCM wasiongoze kama viongozi wa chuo ni blue eye wa madikteta CCM? we unaona hata quality ya wanafunzi UD ni kama zamani?.....
Uvccm wamewahonga lazima kuwapoteza jinsi ulivyoandika japo huko sipajui nimeendana na uandishi wako.
Mkuu tatizo la bavicha punguani mpo wengi hata kufuatilia mambo ya msingi mnashindwa. Fuaatilia udahili wa udsm ndio urudi
Tatizo chadema hawabishani tena kwa hoja za ukweli bali hoja za kufikirka.
Hivi inahitaji digirii kujua umuhimu wa Dr.Kitilya na Zito kwenye siasa za Vyuo?
Nyie wavaa mashati ya kijani mna tabu.Kama kila mtu huwa ni kuonga basi cdm hamna kitu opo siku hata ww utaongwa na kikubali