mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,037
Viongozi wa G7 naona wameamua kujibatiza kama viongozi wa dunia!! Vyombo vya habari vya magharibi viko mstari wa mbele kuwatangaza kama viongozi wa dunia. Watu husema kuwa uongo ukisemwa sana, na watu wakaumezea hubadilika pole pole kuwa ukweli.
Dunia lazima ikatae sasa kuwa marais wa Marekani, kanada, uingereza, ujerumani, Italia, ufaransa,na Japani ni marais wa nchi hizo tu wala viongozi wa dunia. Vinginevyo hawa G7 wataona dunia imewakubali kama viongozi wao, na hapo ndipo watapata nguvu ya kuweka sheria na taratibu zao ili kulinda maslahi yao tu na bila kujali maslahi ya nchi zingine. BBC wanasema Zelensky kazungumza na viongozi wa dunia (world leaders).
EPACopyright: EPA
In the last few minutes, we've just heard from Volodymyr Zelensky about his meetings with world leaders at the G7 summit, including the UK, Italian and Indian prime ministers.
Hasa Marekani huwa inajihesabu kama kiongozi wa dunia wakati siyo!! Dunia ina mataifa 193 yanayotambuliwa rasmi na umoja wa mataifa. Haiwezekani mataifa 7 (G7) yakajitangazia kuwa ni viongozi nwa dunia. HAPANA.
Dunia lazima ikatae sasa kuwa marais wa Marekani, kanada, uingereza, ujerumani, Italia, ufaransa,na Japani ni marais wa nchi hizo tu wala viongozi wa dunia. Vinginevyo hawa G7 wataona dunia imewakubali kama viongozi wao, na hapo ndipo watapata nguvu ya kuweka sheria na taratibu zao ili kulinda maslahi yao tu na bila kujali maslahi ya nchi zingine. BBC wanasema Zelensky kazungumza na viongozi wa dunia (world leaders).
Zelensky's talks with world leaders
EPACopyright: EPA
In the last few minutes, we've just heard from Volodymyr Zelensky about his meetings with world leaders at the G7 summit, including the UK, Italian and Indian prime ministers.
Hasa Marekani huwa inajihesabu kama kiongozi wa dunia wakati siyo!! Dunia ina mataifa 193 yanayotambuliwa rasmi na umoja wa mataifa. Haiwezekani mataifa 7 (G7) yakajitangazia kuwa ni viongozi nwa dunia. HAPANA.