Nani aliwachagua kuwa viongozi wa dunia? G7 ni viongozi wa nchi 7 tu si zaidi ya hapo

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,664
18,037
Viongozi wa G7 naona wameamua kujibatiza kama viongozi wa dunia!! Vyombo vya habari vya magharibi viko mstari wa mbele kuwatangaza kama viongozi wa dunia. Watu husema kuwa uongo ukisemwa sana, na watu wakaumezea hubadilika pole pole kuwa ukweli.

Dunia lazima ikatae sasa kuwa marais wa Marekani, kanada, uingereza, ujerumani, Italia, ufaransa,na Japani ni marais wa nchi hizo tu wala viongozi wa dunia. Vinginevyo hawa G7 wataona dunia imewakubali kama viongozi wao, na hapo ndipo watapata nguvu ya kuweka sheria na taratibu zao ili kulinda maslahi yao tu na bila kujali maslahi ya nchi zingine. BBC wanasema Zelensky kazungumza na viongozi wa dunia (world leaders).

Zelensky's talks with world leaders

kraine's President Volodymyr Zelensky (2-R) with Italy's Prime Minister Giorgia Meloni

EPACopyright: EPA
In the last few minutes, we've just heard from Volodymyr Zelensky about his meetings with world leaders at the G7 summit, including the UK, Italian and Indian prime ministers.

Hasa Marekani huwa inajihesabu kama kiongozi wa dunia wakati siyo!! Dunia ina mataifa 193 yanayotambuliwa rasmi na umoja wa mataifa. Haiwezekani mataifa 7 (G7) yakajitangazia kuwa ni viongozi nwa dunia. HAPANA.
 
Ndio maana Marekani hukasirika mno inapokutana na taifa kama korea ya kusikazini ambalo haliwezi kumnyenyekea hata kidogo!!
Shida haujui Dunia inavyoongozwa, G7 ndiyo wanakupangia namna ya kupata mikopo...riba na namna ya kuzitumia pia namna ya kuendana na wananchi wako.
Sasa huko Korea wanachangia nini hapa Duniani hadi wewe unufaike? Zana za kilimo yenyewe ameshindwa kuisaidia Dunia.

Hao G7 wanasisitiza sana wanasayansi kufanya kazi za utafiti kwa weledi zaidi ili maisha ya wanadamu ziboreshwe...wewe unaleta mambo ya korea kaskazini.
 
We jamaa unachekesha sana!! Unauliza nani aliwaweka!? Ni nguvu ya uchumi wanaomiliki. Yaani mwenye uwezo wa kukodi zomari ndie atachagua wimbo, we mwenzangu na mimi ukinuna au ukafurahi utajaza mwenyewe.

Ni kama vile tu moo au gsm walivyo na nguvu kwenye hivi vilabu vyenye wanachama maelfu.
 
Tafuta Hela automatically utaongoza maskini
Kuna wanaoitwa "maskini jeuri". Wanajali heshima yao na hawako tayari kuiuza kwa gharama yoyote!! Watakuambia "potelea mbali na pesa yako". Watu kama mwalimu Nyerere, Robert Mugabe, Fideral Castro nk.
 
China amewabwatukia G7 pamoja na mkubwa wao Marekani: Kawaambia hamuwezi kushinikiza matakwa yenu na sheria zenu kwetu kwa maslahi ya kwenu!! Amewagomea peupe kuwa waqo siyo world leaders bali ni kikundi tu cha watu!!

China questions ‘credibility’ of G7 members​

Beijing has accused the US-led bloc of trying to impose its will on others
China questions ‘credibility’ of G7 members

Leaders of the G7 countries in Hiroshima, Japan, May 20, 2023. © Michael Kappeler / dpa / Getty Images
The international community will not allow the US-led G7 dominate world affairs, nor will it fall in line with the pro-Western rules pushed by the group, the Chinese Foreign Ministry said in a statement on Saturday.
“China will never accept the so-called rules imposed by the few. The international community does not and will not accept the G7-dominated Western rules that seek to divide the world based on ideologies and values,” the statement read.
The Foreign Ministry went on to accuse the group of acting on behalf of “America-first” policies and attempting to impose its will on others. “That simply shows how little international credibility means to the G7,” the ministry said.
Gone are the days when a handful of Western countries can just willfully meddle in other countries’ internal affairs and manipulate global affairs.
 
Viongozi wa G7 naona wameamua kujibatiza kama viongozi wa dunia!! Vyombo vya habari vya magharibi viko mstari wa mbele kuwatangaza kama viongozi wa dunia. Watu husema kuwa uongo ukisemwa sana, na watu wakaumezea hubadilika pole pole kuwa ukweli.

Dunia lazima ikatae sasa kuwa marais wa Marekani, kanada, uingereza, ujerumani, Italia, ufaransa,na Japani ni marais wa nchi hizo tu wala viongozi wa dunia. Vinginevyo hawa G7 wataona dunia imewakubali kama viongozi wao, na hapo ndipo watapata nguvu ya kuweka sheria na taratibu zao ili kulinda maslahi yao tu na bila kujali maslahi ya nchi zingine. BBC wanasema Zelensky kazungumza na viongozi wa dunia (world leaders).

Zelensky's talks with world leaders

View attachment 2628783
EPACopyright: EPA
In the last few minutes, we've just heard from Volodymyr Zelensky about his meetings with world leaders at the G7 summit, including the UK, Italian and Indian prime ministers.

Hasa Marekani huwa inajihesabu kama kiongozi wa dunia wakati siyo!! Dunia ina mataifa 193 yanayotambuliwa rasmi na umoja wa mataifa. Haiwezekani mataifa 7 (G7) yakajitangazia kuwa ni viongozi nwa dunia. HAPANA.

Huo ndio ukweli, haijalishi unaupenda ama la.
 
Huo ndio ukweli, haijalishi unaupenda ama la.
Umewasikia China walivyowabwatukia hao wanaojiita "world leaders". Nikupatie kipande hiki:

Gone are the days when a handful of Western countries can just willfully meddle in other countries’ internal affairs and manipulate global affairs.

Kwa sasa kuna kizazi cha mataifa ambacho kimeshaweka msimamo kuwa hawawezi kuyumbishwa na nchi za magharibi. Nchi kama China, Urusi, Korea ya kusini, Iran, Afrika ya kusini, Ghana, Uganda, Syria, Saudi arabia, India nk,(sina uhakika kwa Tanzania)! Wamesema no thank you!! Hatuwezi kuelekezwa cha kufanya na hatuwezi kupangiwa marafiki na maadui.
 
Umewasikia China walivyowabwatukia hao wanaojiita "world leaders". Nikupatie kipande hiki:

Gone are the days when a handful of Western countries can just willfully meddle in other countries’ internal affairs and manipulate global affairs.

Kwa sasa kuna kizazi cha mataifa ambacho kimeshaweka msimamo kuwa hawawezi kuyumbishwa na nchi za magharibi. Nchi kama China, Urusi, Korea ya kusini, Iran, Afrika ya kusini, Ghana, Uganda, Syria, Saudi arabia, India nk,(sina uhakika kwa Tanzania)! Wamesema no thank you!! Hatuwezi kuelekezwa cha kufanya na hatuwezi kupangiwa marafiki na maadui.
Uko sahihi, kujitutumua sio kosa boss. Lakini uhalisia unafahamika.
 
Umaskini wa akili ni umaskini mbaya sana!! Hizi nchi zinazodaiwa ni tajiri, utajiri wao ni wa wizi na utapeli tu!! Umaskini wa Afrika kwa mfano si umaskini halisi!! Ni umaskini wa akili!! Tuna raslimali nyingi sana!!
Mkuu unazungumzia utajiri au utajiri wa wizi? Nisaidie kwenye hilo. Kisha nchi yetu ina miaka 60+ ya uhuru, ni kipi kinatufanya hizo raslimali unazosema ni nyingi hazimalizi huu umasikini wetu?
 
Shida haujui Dunia inavyoongozwa, G7 ndiyo wanakupangia namna ya kupata mikopo...riba na namna ya kuzitumia pia namna ya kuendana na wananchi wako.
Sasa huko Korea wanachangia nini hapa Duniani hadi wewe unufaike? Zana za kilimo yenyewe ameshindwa kuisaidia Dunia.

Hao G7 wanasisitiza sana wanasayansi kufanya kazi za utafiti kwa weledi zaidi ili maisha ya wanadamu ziboreshwe...wewe unaleta mambo ya korea kaskazini.
Watu kama ninyi ndiyo ambao mnatudhalilisha huku duniani...Elewa anachokisema, ni zaidi ya huo uwoga wako na kujipendekeza kwako kisa tu umetawaliwa ubongo wako zaidi na hao ma bwana kuliko hata muumba wako
 
Nilishindwa kuwaelewa mwanzani ilikuwa G8, kwa maana kwamba ni umoja wa nchi zilizoendelea kiviwanda 8 wakiwemo Urusi. Ghafla Urusi wakatolewa ikabaki G7 sasa sijui viwanda vya Urusi vilikufa vyote ghafla😀😀..
Dunia tu haijajitambua nguvu zake...Hivi dunia iki gang up against hao watamtishia nani? Kama ni nuclear si na wao itawaumiza? Akili tu hizi zilizotiwa woga, siku moja tutaungana na Korea na wenye calibre kama hizo kuwaondolea huo ukuu wao imaginary waliojitengenezea
 
Viongozi wa G7 naona wameamua kujibatiza kama viongozi wa dunia!! Vyombo vya habari vya magharibi viko mstari wa mbele kuwatangaza kama viongozi wa dunia. Watu husema kuwa uongo ukisemwa sana, na watu wakaumezea hubadilika pole pole kuwa ukweli.

Dunia lazima ikatae sasa kuwa marais wa Marekani, kanada, uingereza, ujerumani, Italia, ufaransa,na Japani ni marais wa nchi hizo tu wala viongozi wa dunia. Vinginevyo hawa G7 wataona dunia imewakubali kama viongozi wao, na hapo ndipo watapata nguvu ya kuweka sheria na taratibu zao ili kulinda maslahi yao tu na bila kujali maslahi ya nchi zingine. BBC wanasema Zelensky kazungumza na viongozi wa dunia (world leaders).

Zelensky's talks with world leaders

View attachment 2628783
EPACopyright: EPA
In the last few minutes, we've just heard from Volodymyr Zelensky about his meetings with world leaders at the G7 summit, including the UK, Italian and Indian prime ministers.

Hasa Marekani huwa inajihesabu kama kiongozi wa dunia wakati siyo!! Dunia ina mataifa 193 yanayotambuliwa rasmi na umoja wa mataifa. Haiwezekani mataifa 7 (G7) yakajitangazia kuwa ni viongozi nwa dunia. HAPANA.
Wakora tu hao walijichagua baada ya kuona sisi wengine tumelemaaa tu kwenye vijiwe vya kahawa
 
Watu kama ninyi ndiyo ambao mnatudhalilisha huku duniani...Elewa anachokisema, ni zaidi ya huo uwoga wako na kujipendekeza kwako kisa tu umetawaliwa ubongo wako zaidi na hao ma bwana kuliko hata muumba wako
Acha porojo, elewa dunia inavyoongozwa...kila kitu kinapagwa na kutekelezwa na watu.
Nikikuuliza unadhani numbers, silabu, irabu na maneno mengine uliyoyasoma yalitoka wapi? Jibu ni yalipangwa na watu...bisha lakini ujiulizi kwanini tunaanza mwanzo wa mwezi kwa kuita tarehe 1 na wala siyo 0.

Kubali Kataa lakini ukweli ni kuwa dunia inataratibu yake...wewe watu walianza kujenga magorofa miaka ya 1300 huko leo unakataa wasikupangie namna ya kuishi.
 
Acha porojo, elewa dunia inavyoongozwa...kila kitu kinapagwa na kutekelezwa na watu.
Nikikuuliza unadhani numbers, silabu, irabu na maneno mengine uliyoyasoma yalitoka wapi? Jibu ni yalipangwa na watu...bisha lakini ujiulizi kwanini tunaanza mwanzo wa mwezi kwa kuita tarehe 1 na wala siyo 0.

Kubali Kataa lakini ukweli ni kuwa dunia inataratibu yake...wewe watu walianza kujenga magorofa miaka ya 1300 huko leo unakataa wasikupangie namna ya kuishi.
Poleee!
 
Back
Top Bottom