PostGE2025 Nani alitoa amri ya “shoot and kill”?

PostGE2025 Nani alitoa amri ya “shoot and kill”?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Wezi na waharibifu wa mali waliojificha kwenye jina la waandamanaji walistahili kifo unaenda kuchoma mali za umma mali za watu hadi vituo vya polisi alafu uchekewe? Dawa ni kuchapwa risasi tu hakuna kucheka na nyumbu wahalifu.

Lile lilikua ni funzo zuri sana ndo maana hadi leo hamna nyumbu anaejaribu kuingia barabarani kujaribu kuleta machafuko, amani ya nchi hii italindwa kwa gharama yoyote.
Utulivu ndio unalindwa kwa bunduki sio amani.
 
Unataka kumaanisha samia suluhu hasani alifanya hayo ili kulipiza kisasi?
Hapana ni wakati wa Magufuli. Hata hivyo huyo Samia kawekwa na Watanganyika. Au hukuona Nani alimtangaza na Watanganyika wakakatika viuno kwa kushangilia uteuzi wake ?
 
Majeshi yetu yanafunzwa kutisha na kupigana na raia. Na wanalishwa itikadi ya kuogopa watawala na kutete maslah yao. Mfanyakaz ya vyombo vya ulinzi na usalama ukikutana nae katika nyumba ya kiongozi hata kumaza mate mpaka aambiwe ndo ameze
😄
 
Nimeshihudia ndugu zangu na kaka zangu wa mtaani kwetu Miili yao barabarani ikiwa kmy, niaibu kusahau na niushenzi kurekodi historia ya awamu hii ya ovyo Zaid niwazi niserkali ya umwagaji damu na ufisadi,hila,ni ujinga hata k
 
Tume ya Chande imefunga ukurasa mchungu sana wa vurugu za October 29 tugange yajayo, tuzungumze amani na masuala ya upendo.
Kwa miaka mingi sana Tanzania imekuwa ikizungumza amani na kujisifu kwa amani, lakini funzo tulilopata ni kwamba kujisifu tu kwa amani pekee hakutoshi bali kunahitajika na kushughulikia na yale yenye kuweza kusababisha kukosekana kwa hiyo amani.

Tulikuwa tunaimba amani na kujisifu kwa amani huku suala la watu kutekwa na kuuwawa tukalifanya kama jambo la kawaida.
 
Back
Top Bottom