Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 39,912
- 50,976
Wewe umeamua kuwa mpumbavu siku katazi.Wewe ni mpumbavu...
Wewe umeamua kuwa mpumbavu siku katazi.Wewe ni mpumbavu...
Hivi wale waliouwa huku Pemba 2001 na 2020 Kuna aliyewajibishwa. Mahita anaendelea kupeta na kula pensheni yake , wake akina Kama da George ndio waliongezwa vyeo na kupelejwa kwao Tanganyika. Wengineo walipewa vyeo. Hiyo ndiyo serikali ya CCMKuua waue wao halafu wanataka maridhiano pasipo kuwajibika.
Hawa ccm ni wapumbavu sana
Gentleman,Bahati mbaya tume haikutupa majibu ya nani alisimamia zoezi Zima la kuwafyatulia risasi za moto na kuwauwa wandamanaji wasokuwa na silaha.
Mimi katika family yangu Kuna kijana wa miaka 20 alipigwa risasi ya mbavu na kuwawa maeneo ya mbauda pale sina uhakika kama tume ya chande ilimuhesabu ktk wale 518 kama sikosei
Tunataka kusahau yalopita na kuganga yajayo
Tunataka kuingia kwenye maridhiano tukiwa tunajua nani aliamrisha watoto wetu wafyatuliwe risas za kichwa.
Itakuwa samia anatumia bangi sio bureKuna bodaboda kaagizwa chips amerudi wakati anatoa hizo chips waka shoot hapo hapo getini,hivi unajua kuna machungu hayaponi haraka, wewe unatafuta maridhiano? serious uko sawa,nikumuachia Mungu mambo yanaumiza sana hisia , watanzania tulipitia pagumu,sioni tija ya kupandisha hizi nyuzi za matukio zina kwangua nafsi tulianza kupona ila mnatonesha tena
Unataka kumaanisha samia suluhu hasani alifanya hayo ili kulipiza kisasi?Hivi wale waliouwa huku Pemba 2001 na 2020 Kuna aliyewajibishwa. Mahita anaendelea kupeta na kula pensheni yake , wake akina Kama da George ndio waliongezwa vyeo na kupelejwa kwao Tanganyika. Wengineo walipewa vyeo. Hiyo ndiyo serikali ya CCM
Hakuna cha bahati mbaya... Ni makusudiBahati mbaya tume haikutupa majibu ya nani alisimamia zoezi Zima la kuwafyatulia risasi za moto na kuwauwa wandamanaji wasokuwa na silaha.
Mimi katika family yangu Kuna kijana wa miaka 20 alipigwa risasi ya mbavu na kuwawa maeneo ya mbauda pale sina uhakika kama tume ya chande ilimuhesabu ktk wale 518 kama sikosei
Tunataka kusahau yalopita na kuganga yajayo
Tunataka kuingia kwenye maridhiano tukiwa tunajua nani aliamrisha watoto wetu wafyatuliwe risas za kichwa.
Watanzania ❌Kuna bodaboda kaagizwa chips amerudi wakati anatoa hizo chips waka shoot hapo hapo getini,hivi unajua kuna machungu hayaponi haraka, wewe unatafuta maridhiano? serious uko sawa,nikumuachia Mungu mambo yanaumiza sana hisia , watanzania tulipitia pagumu,sioni tija ya kupandisha hizi nyuzi za matukio zina kwangua nafsi tulianza kupona ila mnatonesha tena
Justification yako ni ya kipumbavu! Na inaonesha utakuwa umetoka kutombw!Nani aliamrisha askari 16 kuuliwa?. Mnavyolalamika utadhani hao polisi waliuwawa sio watoto wenye wazazi!.
Hili ndio tatizo lenyewe sasa ,mentality ya unyonge na utumwa +kutokuwajibika kwa wananchi Kama wewe ambayo ndio imeimbold hao mashetani kufanya walichofanya ,Kama wameua maelfu mwaka jana ni kitu gani kinakufanya ufikiri hawatafanya tena ? Tena kukufanyia wewe mwenyewe ? ,Solution ni Watanzania kurudi barabarani tena kwa nguvu zote na silaha juu ili kulipiza kisasi na kuwafurusha hao waseng€ madarakaniKuna bodaboda kaagizwa chips amerudi wakati anatoa hizo chips waka shoot hapo hapo getini,hivi unajua kuna machungu hayaponi haraka, wewe unatafuta maridhiano? serious uko sawa,nikumuachia Mungu mambo yanaumiza sana hisia , watanzania tulipitia pagumu,sioni tija ya kupandisha hizi nyuzi za matukio zina kwangua nafsi tulianza kupona ila mnatonesha tena
Vijana ukiwasikiliza au ukiwasoma maongezi yao huko instagram unabaki kusikitika tu.Hawa vijana ni matokeo ya malezi dhaifu.
Wazazi wakiri wamekosea kuwalea hawa vijana.
Sisi tulikuzwa kujitegemea, tumekuwa tukijuwa haya maisha mafanikio unayapata kwa kufanya kazi hakuna short cut.
Hawa wa sasa wamezoea kupewa kila kitu wakikutana na Dunia wanafikiri itawapa kila kitu bure. Kumbe ni tofauti.
Lazima tu utalazimika kujituma. Serikali sio baba na mama yetu.
Serikali ipo tu kutuwekea mazingira tupambane. Ila wajibu wa kila mtu bado upo pale pale.
Kwa hiyo vijana warudi barabarani wakafe tena!. Kwa taarifa yako wengi wa vijana wanaoingia barabarani hawana majukumu maishani mwao hawana cha kupoteza.Tanzania ni zizi LA nguruwe na waliopo humo Kama wananchi wanahesabika Kama nguruwe tu na kudharaulika tena bora hata nguruwe maisha yake yanathamani , hamna thamani ya maisha ya Mtanza
Hili ndio tatizo lenyewe sasa ,mentality ya unyonge na utumwa +kutokuwajibika kwa wananchi Kama wewe ambayo ndio imeimbold hao mashetani kufanya walichofanya ,Kama wameua maelfu mwaka jana ni kitu gani kinakufanya ufikiri hawatafanya tena ? Tena kukufanyia wewe mwenyewe ? ,Solution ni Watanzania kurudi barabarani tena kwa nguvu zote na silaha juu ili kulipiza kisasi na kuwafurusha hao waseng€ madarakani
Upendo kauongelee kwenye danguro huku mamako kahaba akififrwaTume ya Chande imefunga ukurasa mchungu sana wa vurugu za October 29 tugange yajayo, tuzungumze amani na masuala ya upendo.
Mkitegemea mfumo dhalimu wa ccm mtaonja radha ya mauaji ,vipigo na kuharibiwa Mali .Mtawindwa kama wanyama wa mwituni na hamtaona pa kukimbilia ,msifikiri watu ni wajinga hawajui washenzi wote waliohusika na Yale mauaji ya kishenzi .Kama Una akili utasave hii comment Ila najua akili huna .Endelea kusubiri nilichoandika hapa soonKwa hiyo vijana warudi barabarani wakafe tena!. Kwa taarifa yako wengi wa vijana wanaoingia barabarani hawana majukumu maishani mwao hawana cha kupoteza.
Wengi wa vijana waliopata malezi mazuri wamejifunza kwa namna ngumu sana kupitia yale machafuko ya October 29 hayupo kijana anayejitambua anayeweza kukubali kwenda kupambana na mapolisi wenye bunduki ambao wamesomea kutoa roho ya yule anayekatiza mbele ya macho yao.MTU
Je, waliouawa wote waliandamana?!Wezi na waharibifu wa mali waliojificha kwenye jina la waandamanaji walistahili kifo unaenda kuchoma mali za umma mali za watu hadi vituo vya polisi alafu uchekewe? Dawa ni kuchapwa risasi tu hakuna kucheka na nyumbu wahalifu.
Lile lilikua ni funzo zuri sana ndo maana hadi leo hamna nyumbu anaejaribu kuingia barabarani kujaribu kuleta machafuko, amani ya nchi hii italindwa kwa gharama yoyote.
Amri kutoka juu kwa wakuu wa vituo. Nao pia wapigiwa cm.Bahati mbaya tume haikutupa majibu ya nani alisimamia zoezi Zima la kuwafyatulia risasi za moto na kuwauwa wandamanaji wasokuwa na silaha.
Mimi katika family yangu Kuna kijana wa miaka 20 alipigwa risasi ya mbavu na kuwawa maeneo ya mbauda pale sina uhakika kama tume ya chande ilimuhesabu ktk wale 518 kama sikosei
Tunataka kusahau yalopita na kuganga yajayo
Tunataka kuingia kwenye maridhiano tukiwa tunajua nani aliamrisha watoto wetu wafyatuliwe risas za kichwa.