PostGE2025 Nani alitoa amri ya “shoot and kill”?

PostGE2025 Nani alitoa amri ya “shoot and kill”?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Bakht mbaya tume haikutupa majibu ya nani alisimamia zoezi Zima la kuwafyatulia risasi za moto na kuwauwa wandamanaji wasokuwa na silaha.

Mimi katika family yangu Kuna kijana wa miaka 20 alipigwa risasi ya mbavu na kuwawa maeneo ya mbauda pale sina uhakika kama tume ya chande ilimuhesabu ktk wale 518 kama sikosei

Tunataka kusahau yalopita na kuganga yajayo
Tunataka kuingia kwenye maridhiano tukiwa tunajua nani aliamrisha watoto wetu wafyatuliwe risas za kichwa.
Chande kulinda heshima yake angekataa kuingia kwenye hiyo TUME ,kwa miaka aliyofanya kazi ,kiiunua mgongo ,pension ya kila mwezi ,bosta kutoka kwa watoto zingemtosha kusurvive kuliko kuuza UTU kwa Vipande vya fedha vya Mama MADURO.
 
Mtoto wa dada yangu alikuwa dereva wa bodaboda yake niliyomnunulia ikawa inampatia riziki yake ya kila siku.

Alipigwa risasi mgongoni akiwa anarudi kituoni baada ya kumteremsha mteja wake. Bodaboda ile mpaka leo imekaa bure tu, hakuna anayetaka kuigusa!
Alifariki?
 
Wezi na waharibifu wa mali waliojificha kwenye jina la waandamanaji walistahili kifo unaenda kuchoma mali za umma mali za watu hadi vituo vya polisi alafu uchekewe? Dawa ni kuchapwa risasi tu hakuna kucheka na nyumbu wahalifu.

Lile lilikua ni funzo zuri sana ndo maana hadi leo hamna nyumbu anaejaribu kuingia barabarani kujaribu kuleta machafuko, amani ya nchi hii italindwa kwa gharama yoyote.
jana rais wako na chande walikiri kuwa watu 519 walikufa oct29.
29 walikuwa watoto.
Ina maana watoto walikuwa wezi?
Kama kichwani akili hauna tumia hata huo mkundu wako kufikri
 
Huyo wa chini kabisa atakwambia kazi za watu, wa juu yake naye atasema kazi za watu na hata mkubwa kabisa atasema kazi za watu. Na mwenye kazi kabisa atasema anafanya kazi kwa ajili ya watu.
#Tufanye kazi za watu, ndio Sauti zao.
 
Bahati mbaya tume haikutupa majibu ya nani alisimamia zoezi Zima la kuwafyatulia risasi za moto na kuwauwa wandamanaji wasokuwa na silaha.

Mimi katika family yangu Kuna kijana wa miaka 20 alipigwa risasi ya mbavu na kuwawa maeneo ya mbauda pale sina uhakika kama tume ya chande ilimuhesabu ktk wale 518 kama sikosei

Tunataka kusahau yalopita na kuganga yajayo
Tunataka kuingia kwenye maridhiano tukiwa tunajua nani aliamrisha watoto wetu wafyatuliwe risas za kichwa.
CCM watakuja kukwambia haikuwa kazi ya tume ya chande, na pia tungojee tume mpya ya kuchunguza jinai ndo itakuja na majibu. They play smart ila in a very foolish way. They jiggle their keys here so you dont see there. Mbinu za kishamba sana.
 
Bahati mbaya tume haikutupa majibu ya nani alisimamia zoezi Zima la kuwafyatulia risasi za moto na kuwauwa wandamanaji wasokuwa na silaha.

Mimi katika family yangu Kuna kijana wa miaka 20 alipigwa risasi ya mbavu na kuwawa maeneo ya mbauda pale sina uhakika kama tume ya chande ilimuhesabu ktk wale 518 kama sikosei

Tunataka kusahau yalopita na kuganga yajayo
Tunataka kuingia kwenye maridhiano tukiwa tunajua nani aliamrisha watoto wetu wafyatuliwe risas za kichwa.
Nani aliamrisha askari 16 kuuliwa?. Mnavyolalamika utadhani hao polisi waliuwawa sio watoto wenye wazazi!.
 
Tunataka kusahau yalopita na kuganga yajayo
Tunataka kuingia kwenye maridhiano tukiwa tunajua nani aliamrisha watoto wetu wafyatuliwe risas za kichwa.
Ukisamehe, auto hutataka kujua ni nani aliamrisha shoot to kill! Moja kwa moja utasahau na kuganga yajayo.
Je! Umeshasamehe?
 
CCM watakuja kukwambia haikuwa kazi ya tume ya chande, na pia tungojee tume mpya ya kuchunguza jinai ndo itakuja na majibu. They play smart ila in a very foolish way. They jiggle their keys here so you dont see there. Mbinu za kishamba sana.
Tufunge ukurasa tuanze kuongea masuala ya amani, kumbuka kuna askari 16 waliuwawa, wanao wazazi na jamaa zao walioomboleza kwa uchungu pia.
 
Tufunge ukurasa tuanze kuongea masuala ya amani, kumbuka kuna askari 16 waliuwawa, wanao wazazi na jamaa zao walioomboleza kwa uchungu pia.
Rafiki, hayo ya askari kuuliwa kama ni jinai, wafungue upelelezi na washtakiwa wafikishwe mahakamani. The same ya tunachokitaka kwa wananchi waliopoteza maisha yao, tunataka waliofayatua hizo risasi na waliotoa command wachukuliwe hatua na tuwaone mahakamani. Tunajua wa-Tanzania, accountability sio sehemu ya maisha yenu ila dont spin it kama watu ambao hamna akili timamu.
 
Chande na machande wake wanasema ni vitu vyenye ncha kali.

Tukianza kutaja vitu vyenye ncha kali kuna misumari, pini , miiba je watu walichomwa na nini kati ya hivyo?

Tukija issue ya utekaji wanasema watu wametekwa sababu ya ushirikina, wivu wa mapenzi na madeni.

Je Mdude, Soka , Dioniz Kipanya[huyu alipot3a baada ya kurekodi msururu wa magari wa msafara wa Samuya akionyesha ufujaji wa kodi kupitia idadi kubwa ya magari] , Kaswahili , Polepole hawa nao walijiteka kama imavyodaiwa na tume ya Chande na Machande wake au ni sababu za ushirikina , madeni , wivu wa mapenzi na kwanini isiwe kutokana na ukosoaji kwa utawala dhalimu"?
 
Tufunge ukurasa tuanze kuongea masuala ya amani, kumbuka kuna askari 16 waliuwawa, wanao wazazi na jamaa zao walioomboleza kwa uchungu pia.

Hahaha, sometimes inabidi mtu ucheke tu, hivi mfano hapo nyumbani kwako imetokea kuna kiumbe kimeingia ndani kikajeruhi unaweza ita mkeo na watoto ukawaambia laleni tu kwa amani na hawajui chochote kuhusu hicho kiumbe?

Unless unataka wahanga wawe watulivu sio wawe na amani, sababu kwenye uhalisia wa mwanadamu, mauaji makubwa yanapotokea maswali kama kwanini, nani kafanya, tufanyaje isirudie lazima yaulizwe na lazima yajibiwe ili pawe na amani, kinyume na hapo patakuwa na utulivu na sio amani.
 
Hahaha, sometimes inabidi mtu ucheke tu, hivi mfano hapo nyumbani kwako imetokea kuna kiumbe kimeingia ndani kikajeruhi unaweza ita mkeo na watoto ukawaambia laleni tu kwa amani na hawajui chochote kuhusu hicho kiumbe?

Unless unataka wahanga wawe watulivu sio wawe na amani, sababu kwenye uhalisia wa mwanadamu, mauaji makubwa yanapotokea maswali kama kwanini, nani kafanya, tufanyaje isirudie lazima yaulizwe na lazima yajibiwe ili pawe na amani, kinyume na hapo patakuwa na utulivu na sio amani.
Nadhani umemsikiliza jaji mstaafu Chande kwa kirefu akiongelea yale yaliyoandikwa kwenye report.

Kuna sehemu ndani ya kurasa wameongelea kusameheana, yaliyotokea hayakuwa madogo hata kidogo.

Mungu atupitishe mbali na dhahama lile la mwaka jana.
 
Watu wanaleta siasa ila hali ilivyokuwa kwa siku zile ilikuwa mbaya wakuu.

Madogo walikuwa wanajikisanya halafu wanakwenda kufanya fujo.

Utawakuta wanajiandaa kabisa kununua vitu kama maji soda, na vingine,

Fedha wanatoa wapi? Il hali unawaona kabisa ajira hawana.

Mimi sitetei uuaji ila naelezea hali halisi tu.
 
Watu wanaleta siasa ila hali ilivyokuwa kwa siku zile ilikuwa mbaya wakuu.

Madogo walikuwa wanajikisanya halafu wanakwenda kufanya fujo.

Utawakuta wanajiandaa kabisa kununua vitu kama maji soda, na vingine,

Fedha wanatoa wapi? Il hali unawaona kabisa ajira hawana.

Mimi sitetei uuaji ila naelezea hali halisi tu.
Vibaka walitaka kutumia machafuko kama mtaji wa kujitafutia riziki kwenye maduka yanayovunjwa huko mitaani.

Siungi mkono ushenzi ule lakini ujumbe fulani vijana wameweza kuufikisha kwa tabaka la sisi vijana wa zamani tuliokuzwa katika maisha ya ki-CCM.
 
Vibaka walitaka kutumia machafuko kama mtaji wa kujitafutia riziki kwenye maduka yanayovunjwa huko mitaani.

Siungi mkono ushenzi ule lakini ujumbe fulani vijana wameweza kuufikisha kwa tabaka la sisi vijana wa zamani tuliokuzwa katika maisha ya ki-CCM.
Hawa vijana ni matokeo ya malezi dhaifu.

Wazazi wakiri wamekosea kuwalea hawa vijana.

Sisi tulikuzwa kujitegemea, tumekuwa tukijuwa haya maisha mafanikio unayapata kwa kufanya kazi hakuna short cut.

Hawa wa sasa wamezoea kupewa kila kitu wakikutana na Dunia wanafikiri itawapa kila kitu bure. Kumbe ni tofauti.

Lazima tu utalazimika kujituma. Serikali sio baba na mama yetu.

Serikali ipo tu kutuwekea mazingira tupambane. Ila wajibu wa kila mtu bado upo pale pale.
 
Nadhani umemsikiliza jaji mstaafu Chande kwa kirefu akiongelea yale yaliyoandikwa kwenye report.

Kuna sehemu ndani ya kurasa wameongelea kusameheana, yaliyotokea hayakuwa madogo hata kidogo.

Mungu atupitishe mbali na dhahama lile la mwaka jana.
Hivi mtu anayeweza kufyatua risasi kwa mtoto kwa kisingizio cha kudhibiti unaona ni mtu anayeweza samehewa tu bila kuwajibishwa na watu wakasahau?

Ndo maana nakwambia kusameheana bila wahusika kuwajibishwa si rahisi ila utulivu sawa inawezekana, utulivu kama ule utulivu mkijua mita kadhaa nyuma ya nyumba yenu kuna Simba anazunguka zunguka, mnakuwa na utulivu ila sio amani. Ukitaka utulivu wa amani lazima waliosababisha mauaji na wauaji wadhibitiwe na uwajibikaji ufanyike.
 
Vitu vingine huihitaji kudanganywa na matunguri ya mwanposa kujua nani alitoa amri!, Aliyeunda tume ya uchunguzi ni nani?, Tume imechunguza imekuja na majibu hayo na mwenye tume yake amesema ripoti ni ya Rais haipaswi kuulizwa bado unataka kujua nani alitoa amri?.
Huyo aliyeletewa ripoti yake hakusikia au kusoma vifo vya watu zaidi ya 500?, Kwanini hakuuliza nani walihusika na mauaji?, Mbona mwenyekiti wa ripoti hajawataja wahusika?.
 
Hawa vijana ni matokeo ya malezi dhaifu.

Wazazi wakiri wamekosea kuwalea hawa vijana.

Sisi tulikuzwa kujitegemea, tumekuwa tukijuwa haya maisha mafanikio unayapata kwa kufanya kazi hakuna short cut.

Hawa wa sasa wamezoea kupewa kila kitu wakikutana na Dunia wanafikiri itawapa kila kitu bure. Kumbe ni tofauti.

Lazima tu utalazimika kujituma. Serikali sio baba na mama yetu.

Serikali ipo tu kutuwekea mazingira tupambane. Ila wajibu wa kila mtu bado upo pale pale.
Wewe ni mpumbavu...
 
Bahati mbaya tume haikutupa majibu ya nani alisimamia zoezi Zima la kuwafyatulia risasi za moto na kuwauwa wandamanaji wasokuwa na silaha.

Mimi katika family yangu Kuna kijana wa miaka 20 alipigwa risasi ya mbavu na kuwawa maeneo ya mbauda pale sina uhakika kama tume ya chande ilimuhesabu ktk wale 518 kama sikosei

Tunataka kusahau yalopita na kuganga yajayo
Tunataka kuingia kwenye maridhiano tukiwa tunajua nani aliamrisha watoto wetu wafyatuliwe risas za kichwa.
20250223_162944.jpg

Miongoni mwa kauli zao.
 
Back
Top Bottom