mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
hata wakipata wacha wachaape laaapa
Nimepata waifu humu humu na nikitaka ule mchezo basi nakuwa naomba kijeiefu jeiefu, namwambia .........."Honey unaonaje tukaanzisha sredi?" na yeye kama kachoka ananijibu "Honey PAW kaniban leo siwezi kuanzisha sredi", tunalala zetu
mimi nimepata na ndio mume wangu mtarajiwa......
kama na wewe ulikuwa unahitaji mwaga CV...... mwenyewe utaniambia.......
tuacheni kuwa negative.......watu wangekuwa hawapati wasingekuja hapa
Nimepata waifu humu humu na nikitaka ule mchezo basi nakuwa naomba kijeiefu jeiefu, namwambia .........."Honey unaonaje tukaanzisha sredi?" na yeye kama kachoka ananijibu "Honey PAW kaniban leo siwezi kuanzisha sredi", tunalala zetu
Nimepata waifu humu humu na nikitaka ule mchezo basi nakuwa naomba kijeiefu jeiefu, namwambia .........."Honey unaonaje tukaanzisha sredi?" na yeye kama kachoka ananijibu "Honey PAW kaniban leo siwezi kuanzisha sredi", tunalala zetu
Mh! Siamini kama jf umewaunganisha watu na kuwafanya mwili mmoja coz is invisible