Mbalamwezi1
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 2,071
- 2,010
Dah!wanastamina hatari, unaweza kumgonga hata na bulldozer na asianguke!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
mie nilimgonga na guta maana sikumuona alikuwa anaongoza magari mie nikajua taa ghafla hamadi huyu hapa.
Hii inaitwa fantasy kama vile wapo wanaitamani kutembea na watawa, wanafunzi, wake za watu, wageni, n.k.Tatizo la mleta uzi na wachangiji wengi ni kudhani ukigonga afande basi umegonga sare, magwanda, jeshi zima mpaka kiongozi wao.
Wrong Mentality. Yule ni BintAdam tu kama wengine.
Bazazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kausha kiongozi!
Ongezea parking girls, supermarket girls, bank tellers na wale agents wa marketing. Raha iko pale kwenye transformation from a strictly business encounter to a romantic one. Na kila moja ni unique, so you will always want to meet a new one!Hii inaitwa fantasy kama vile wapo wanaitamani kutembea na watawa, wanafunzi, wake za watu, wageni, n.k.
!!!duh.Kuna Mmoja nilipiga nikamuacha visa vyake sasa....Siku moja akatoroka lindo akanojia na machine ananiambia kwa nini unaniacha???? Nakumiminia karanga sasa..Niliomba msamaha..Pona yangu ilikua ni kuhama mkoa..Naskia kuna jamaa Mkurya kamuoa na sasa wana Mtoto!!
nielekeze ndugu bangi unanunua wapi hahahhamie nilimgonga na guta maana sikumuona alikuwa anaongoza magari mie nikajua taa ghafla hamadi huyu hapa.
unatakiwa kuivuta kwa maficho nikikupa mzigonielekeze ndugu bangi unanunua wapi hahahha
Nyama yake tamu?,inachukua muda gani kuiva kwenye jiko la gesi
Yes Anaitwa R nilimgongagaKatika mazingira gani?
Mi nilipataga trafiki mmoja Kibaha pale Maili moja. Alinikamata kwenye ile zebra crossing. Nikalipa faini kiroho safi halafu nikampa business card yangu. Ndiyo ikawa hivyo.
Kila mtu kwa muda wake kwahiyo hatujasheaYes Anaitwa R nilimgongaga
Weeeee acha kabisa,halafu madau Yao makubwa Sana,nawaona hapa Kanda maalimu ya CRHilo hata mi nathibitisha, sio wadangaji.
Mgambo? Sasa Mimi nilikiwasha na sungusungu tena wa bushi huko .nilikuwa najizurulia zangu polini nikawakuta nikajibebea mmojaAfande kitu gani mimi mgambo tena yule analinda mochwari... Halafu kiliwakia kwenye kile kitanda cha kuchunguzia maiti
Jr