Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,393
- 4,085
NI WALE WENYE KAULI YA WATU WAZURI HAWAFIRAIS Samia Suluhu Hassan kwenye hotuba yake ya leo amesema aliambiwa asikutane na Chadema kusaka maridhiano.
Kwa kuwa tumeshaamua kuwa taifa la haki, ukweli na uwazi ni vizuri tuwafahamu hao waliomwambia Rais Samia asikutane na Chadema ili tujue malengo yao yalikuwa ni nini.