Nani alimwambia Rais Samia asikutane na CHADEMA?

Nani alimwambia Rais Samia asikutane na CHADEMA?

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
640
Reaction score
1,517
RAIS Samia Suluhu Hassan kwenye hotuba yake ya leo amesema aliambiwa asikutane na Chadema kusaka maridhiano.

Kwa kuwa tumeshaamua kuwa taifa la haki, ukweli na uwazi ni vizuri tuwafahamu hao waliomwambia Rais Samia asikutane na Chadema ili tujue malengo yao yalikuwa ni nini.
 
Nina wasiwasi na ile inayoitwa Familia ya watu wazuri hawafi kina ZZK, Nape, Januari ndio haikutaka maridhiriano na Chadema hongera SSH kwa kufichua hiyo siri

Itakuwa lile kundi la hovyo Sukuma Gang wanywa damu za watu ili kulinda legacy ya kipumbavu!!

Mama kabomolea mbali ujinga wao!!
 
Hii kauli Rais ameitoa ikaniachia maswali, kwa huu uwazi wake ategemee kupata upinzani ndani ya chama chake, huku kutoa siri za ndani anakofanya, kutamfanya aonekane ana dharau ushauri anaopewa na wasaidizi wake wanasahau kumbe nae ana maamuzi yake kama kiongozi wao.

Anajua walishampoteza kwenye kumbambikia kesi Mbowe, sasa hawezi tena kurudia makosa, anaonekana ameongeza umakini wa kila analoshauriwa na watu wake wa karibu.

Ameshagundua wakati mwingine huwa hawana nia ya dhati ya kumsaidia, wanachofanya ni kumsukumia mizigo aonekane hafai mbele ya watanzania, ili wakati wa kutafuta mgombea utakapofika, wapate sababu ya kumkataa kumpa ridhaa ya kugombea tena, waseme yule mwanamke ni dhaifu, hatoshi.
 
RAIS Samia Suluhu Hassan kwenye hotuba yake ya leo amesema aliambiwa asikutane na Chadema kusaka maridhiano.

Kwa kuwa tumeshaamua kuwa taifa la haki, ukweli na uwazi ni vizuri tuwafahamu hao waliomwambia Rais Samia asikutane na Chadema ili tujue malengo yao yalikuwa ni nini.
CCM inaomgozwa na kitengo fulani hivi kutoka Kijitonyama , hawa wengine ni watoa taarifa za chama tu
 
RAIS Samia Suluhu Hassan kwenye hotuba yake ya leo amesema aliambiwa asikutane na Chadema kusaka maridhiano.

Kwa kuwa tumeshaamua kuwa taifa la haki, ukweli na uwazi ni vizuri tuwafahamu hao waliomwambia Rais Samia asikutane na Chadema ili tujue malengo yao yalikuwa ni nini.
Mafisadi wasiotaka kulipa Kodi za serikali
 
Hii kauli Rais ameitoa ikaniachia maswali, kwa huu uwazi wake ategemee kupata upinzani ndani ya chama chake, huku kutoa siri za ndani anakofanya, kutamfanya aonekane ana dharau ushauri anaopewa na wasaidizi wake wanasahau kumbe nae ana maamuzi yake kama kiongozi wao.

Anajua walishampoteza kwenye kumbambikia kesi Mbowe, sasa hawezi tena kurudia makosa, anaonekana ameongeza umakini wa kila analoshauriwa na watu wake wa karibu.

Ameshagundua wakati mwingine huwa hawana nia ya dhati ya kumsaidia, wanachofanya ni kumsukumia mizigo aonekane hafai mbele ya watanzania, ili wakati utakapofika, wapate sababu ya kumkataa kumpa ridhaa ya kugombea tena, waseme hatoshi.
Rais Samia kaamua kuiponya Nchi. Atakaye mgusa atalaaniwa.
 
Anajua walishampoteza kwenye kumbambikia kesi Mbowe, sasa hawezi tena kurudia makosa, anaonekana ameongeza umakini wa kila analoshauriwa na watu wake wa karibu, wakati mwingine huwa hawana nia ya dhati ya kumsaidia, wanachofanya ni kumsukumia mizigo aonekane hafai mbele ya watanzania, ili wakati utakapofika, wapate sababu ya kumkataa kumpa ridhaa ya kugombea tena, waseme hatoshi.
Walimharibia sana Rais Samia. Wakati ule walimfanyie timing kabla hajazoea Ikulu.
 
RAIS Samia Suluhu Hassan kwenye hotuba yake ya leo amesema aliambiwa asikutane na Chadema kusaka maridhiano.

Kwa kuwa tumeshaamua kuwa taifa la haki, ukweli na uwazi ni vizuri tuwafahamu hao waliomwambia Rais Samia asikutane na Chadema ili tujue malengo yao yalikuwa ni nini.

Hata Mimi najiuliza ni Nani huyo.
 
Tatizo sio Maraisi wetu bali tatizo lilikuwepo kwenye vyama vya upinzani na haswa chadema ambacho kiligeuka kuwa chama cha wanaharakati!!! kama haitoshi chadema kilikuwa chama cha kuhamasisha vurugu na chuki dhidi ya serikali!!

chadema ili jenga tabia ya ovyo kabisa kwa wanachama wake, kama vile tabia ya ujeuri ukaidi na kutukana viongozi !!

Endapo mwenyekiti Mbowe atarekebisha hiyo tabia kwa viongozi wenzake bila shaka wanachama pia watarekebika na hivyo nchi yetu itasonga vizuri zaidi.
 
Sio
RAIS Samia Suluhu Hassan kwenye hotuba yake ya leo amesema aliambiwa asikutane na Chadema kusaka maridhiano.

Kwa kuwa tumeshaamua kuwa taifa la haki, ukweli na uwazi ni vizuri tuwafahamu hao waliomwambia Rais Samia asikutane na Chadema ili tujue malengo yao yalikuwa ni nini.
sio
RAIS Samia Suluhu Hassan kwenye hotuba yake ya leo amesema aliambiwa asikutane na Chadema kusaka maridhiano.

Kwa kuwa tumeshaamua kuwa taifa la haki, ukweli na uwazi ni vizuri tuwafahamu hao waliomwambia Rais Samia asikutane na Chadema ili tujue malengo yao yalikuwa ni nini.
SIO mwingine huyo atakua Mr MADERU
 
RAIS Samia Suluhu Hassan kwenye hotuba yake ya leo amesema aliambiwa asikutane na Chadema kusaka maridhiano.

Kwa kuwa tumeshaamua kuwa taifa la haki, ukweli na uwazi ni vizuri tuwafahamu hao waliomwambia Rais Samia asikutane na Chadema ili tujue malengo yao yalikuwa ni nini.
Chawa
 
Nadhani issue ya Mbowe, ilimpa fundisho kubwa Sana.......

Akikumbuka namna walivyomlia timing na kumuingiza King, kuwa Mbowe ni gaidi, basi ameamua kuwazingua hao wasaidizi wake😄
Mkanda woote Kinana alimsimulia🤣🤣
 
Back
Top Bottom