Nani alimuua Samora Machel?

Kitu ambacho sidhani kama ni kweli ni kumuhusisha Nyerere kwenye mambo ambayo yalikuwa yanaendelea ndani kwa ndani ya vyama vya ukombozi. Makaburu walikuwa n.a. uwezo mkubwa n.a. walipenyeza watu wao kuvuruga mambo. Ukweli hauwezi kufunikwa mablangeti..Nyerere alijitahidi sana kuona watu wote wa Africa wanakuwa huru

Nyerere! Look! Uhuru hailetwi tu kama bidhaa. Nyerere ndie aliyeratibu mapinduzi ya Seychelles miaka ya 70 na kumuweka msoshalist mwenzake Robert Rene na kumuondoa mafarakani Mancham. Unajua mapinduzi yale wangapi walikufa?

Pia kulikua na jaribio la kumyoa Robert Rene miaka ya sabini wakati baadhi ya wanajeshi watanzania walikua wamesha ondeka but wachache walikuwepo na waliweza zima mapinduzi yale na wanajeshi kibao walipelekwa usiku huhuo Seychelles, victoria.

Miaka ya 80 walijaribu tena walishindwa baada ya mapigano makali kati ya makabiru na cia kuchemsha dhidi ya majeshi ya Tanzania.

Mpaka leo idadi ya wanajeshi waliokufa or kujeruhuwa Seychelles haijulikani.
 
CHE, ndio alikua kiboko ya wadhalimu duniani (Mungu amrehemu) mwanamapinduzi aliechukukia ukandamizaji iwe Africa, America Asia , yaani dunia nzima!!!
 
Duh, mkuu pitia tena ulichoandika, ilikuwa 1986 na sio 1996, na Machel alikuwa ni wa Mozambique na alikuwa anapigania uhuru kamili wa Msumbiji kutoka kwa " Mabandidu" RENAMO, waliokuwa na support ya South Africa, Malawi na Rodeasia ya Kusini pamoja na Wareno
Machel alikuwa rais wa Msumbiji huru,RENAMO kilikuwa kikundi cha waasi cha bwana Alfonso D'lakhama.Siku hizi Ni chama cha upinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Machel had convened a meeting with journalists, FRELIMO leaders and military officers. Machel announced that he had received information that the South Africans wanted to eliminate him. He gave instructions to his Cabinet and Party what had to be done if he failed to return.
A true warrior, a courageous leader, a hero and a fighter who knew his enemies are plotting his death but still chose to continue with his schedule to fulfill his duty.

Few people are matching Machel's courage, Che Guevara is one of them.
Rest in eternal peace The Late Field martial Samora Michel.
You will always stay in our heart comrade!
 
Hivi majarida au vitabu vya hizi historia ninayapata wapi? Ila taifa la Tanzania tuna historia ilioshiba sana barani mwetu.
 
Mkataba wa NKOMATI ndiyo uliommaliza Samora Machel, kwa sababu alikuwa ndumila kuwili ghafla! Nyerere na Mimi tulimwambia asiwaze wala kuthubutu kutia sign ule Mkataba akasema atatia tu hakuna Shaka ndiyo yakamkuta.

Mkataba ule ulikuwa ni makubaliano ya Pande mbili zisiunge Mkono Waasi wa nchi zao mfano Frelimo isiunge mkono ANC, na Makaburu wasiunge mkono RENAMO, lkn baadaye ikaonekana ANC wanazidisha Mashambulizi kutokea Msumbiji.

Kaburu akaona amalize kabisa mzizi wa Fitina, Mazungu wao mpaka leo yanaangalia karatasi za makubaliano zinasemaje. ndiyo maana Germany wanadai Tanganyika yao! kwa sababu Tanzania haiko kwenye Hati za umiliki wa Tanzania, zilizoko Vatican hazijaandikwa neno Tanzania, na Makubaliano ya Berlin haimo. hata Germany akidai leo watamuuliza nchi gani?

Vizanzibar vinapewa hela ya urojo, ili vikatae Muungano! jina Tanganyika rirejee! subiri muone......
 
Safi sana wakuu. Nimeona nondo za maana. Ki ukweli Afrika tuna historia kubwa. Ila vitabu vya mzungu vinaandika tulikuwa hatujui lolote na wao ndio wametuletea kila kitu. Wakati Misri ya zamani ilitawala Israel miaka kibao. R.I.P Samora Machel
 
Eduardo Mondlane aliuawa kwa bomu jijini Dar es salaam inasemekana lilitegwa katika kitabu alichotumiwa toka Ujerumani.

Wengine wanasema Mondlane aliuawa na PIDE, idara ya ujasusi ya Ureno ikiwa na lengo la kudhoofisha harakati za uhuru wa Msumbiji.

Alizikwa makaburi ya Kinondoni, nafasi yake ya uongozi wa FRELIMO ilichukuliwa na Samora Machel.
View attachment 419960
Eduardo Mondlane akiwa na Ernesto Che GuevaraDar es salaam mwaka 1966.
... Mondlane alizikwa Kinondoni? Wekeni picha ya kaburi lake!

Huyu mwamba, Che naye kumbe aliwahi kutia timu Bongo? Duh! Ukisikia harakati ndio ilikuwa enzi hizo! Ukichanganya na mashuja akina Walter Rodney (How Europe Underdeveloped Africa) akiwa profesa pale UDSM kweli "itikadi" ilikuwa imekamilika.

Imagine colabo kama hii iko kwenye kikao (of course cha SIRI) na Chairperson ni His Excellence Mwl. Julius K. Nyerere imagine maamuzi yatakayotoka hapo! Ni nuksi usiombe ujadiliwe kwenye kikao kama hicho.

Anyway, kinachotia hasira zaidi ile mizee (of course by then vijana) iliyopikwa ikapikika enzi zile ndio ilikuja kutuingiza chaka kama taifa!
 
... Mondlane alizikwa Kinondoni? Wekeni picha ya kaburi lake!

Huyu mwamba, Che naye kumbe aliwahi kutia timu Bongo? Duh! Ukisikia harakati ndio ilikuwa enzi hizo! Ukichanganya na mashuja akina Walter Rodney (How Europe Underdeveloped Africa) akiwa profesa pale UDSM kweli "itikadi" ilikuwa imekamilika.

Imagine colabo kama hii iko kwenye kikao (of course cha SIRI) na Chairperson ni His Excellence Mwl. Julius K. Nyerere imagine maamuzi yatakayotoka hapo! Ni nuksi usiombe ujadiliwe kwenye kikao kama hicho.

Anyway, kinachotia hasira zaidi ile mizee (of course by then vijana) iliyopikwa ikapikika enzi zile ndio ilikuja kutuingiza chaka kama taifa!
Hii ndiyo nyumba aliyekuwa akiishi mondlane dsm
Na ndipo akipokufia, Iko karibu na Beach Che alishatia Timu hapo kimya kimya

Ova
View attachment 1459733
20190731_130329.jpg


Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom