Uhuru n Umoja
JF-Expert Member
- May 25, 2016
- 1,160
- 2,223
Kitu ambacho sidhani kama ni kweli ni kumuhusisha Nyerere kwenye mambo ambayo yalikuwa yanaendelea ndani kwa ndani ya vyama vya ukombozi. Makaburu walikuwa n.a. uwezo mkubwa n.a. walipenyeza watu wao kuvuruga mambo. Ukweli hauwezi kufunikwa mablangeti..Nyerere alijitahidi sana kuona watu wote wa Africa wanakuwa huru
Nyerere! Look! Uhuru hailetwi tu kama bidhaa. Nyerere ndie aliyeratibu mapinduzi ya Seychelles miaka ya 70 na kumuweka msoshalist mwenzake Robert Rene na kumuondoa mafarakani Mancham. Unajua mapinduzi yale wangapi walikufa?
Pia kulikua na jaribio la kumyoa Robert Rene miaka ya sabini wakati baadhi ya wanajeshi watanzania walikua wamesha ondeka but wachache walikuwepo na waliweza zima mapinduzi yale na wanajeshi kibao walipelekwa usiku huhuo Seychelles, victoria.
Miaka ya 80 walijaribu tena walishindwa baada ya mapigano makali kati ya makabiru na cia kuchemsha dhidi ya majeshi ya Tanzania.
Mpaka leo idadi ya wanajeshi waliokufa or kujeruhuwa Seychelles haijulikani.