BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,752
- 6,577
Hii stendi naona watu wanasifia, na kuna wakati Waziri Mkuu alie da kukagua maendeleo ya Ujenzi, Ila tulinyimwa akili au zipo ila Uchwa umetuzidi.
Swali ni Je Hakuna Idara ya Intelijensia ya kuweza kugundua kwamba pale ni uhuni na pesa zimepotea bure na itahitajikantena kuja kujengwa stendi mpya?
Ile Stendi imejengwa katikati ya makazi na ile eneo liko very congestion, ni mara 200 ile stendi ya Nyamhongolo sijui kama nimepatia speling.Il stendi ilipaswa kutafutiwa eneo kubwa sana ambalo lingekuja kuzidiwa baada ya miaka hata 50 na sio hii ya miaka 4
Stendi ya Nyegezi naipa miaka 3 kutoka sasa wataanza kutafuta eneo jingine kwa ajili ya ujenzi wa stendi Mpya, Pale hamna maisha, ni pesa zisha pigwa za ujenzi na wakati wanatafuta eneo jipya wahusika wa sasa watakuwa my be walisha hamishiwa maeneo mengine kuendeleza upigaji.
Cha kustajabisha viongozi hawaoni kabisa kwamba eneo lile ni dogo sana na licha ya udogo ni eneo limejaaa, na lina Jam za kutosha na baada ya miaka minne halitafaaa kabisa itabidi litafutwe eneo jipya.
Hii nchi ni kawaida kufanya mambo kwa projection za miaka 4 tu mbele baada ya hapo tuna vunja au tunabomoa na kujenga tena.
Walio jenga au kuruhusu Ujenzi wa stendi ya Ubungo walipaswa kuwa jela kwa sasa kwa kulisababishia Taifa hasara ya kujenga stendi baada ya Muda inavunjwa inaenda kujengwa kwingine.
Wakati wenzetu Project zao huwa zinaangalia miaka 100 ijayo za kwetu ni miaka 4 ijayo. Na hii iko hadi kwemye Majengo ya Serikali.
Angali Majengo ya shule zinazo jengwa sasa na linganisha na zilizo jengwa na Kanisa au Wakoloni na baadae Nyerere akawanyang'anya kanisa. Shule kama Karatu Secondary wale watu wali project miaka 100 mbele hadi 200.
Angalia sasa shule zetu za kata projectiin ni miaka 3 hadi 4 mbele.
Swali ni Je Hakuna Idara ya Intelijensia ya kuweza kugundua kwamba pale ni uhuni na pesa zimepotea bure na itahitajikantena kuja kujengwa stendi mpya?
Ile Stendi imejengwa katikati ya makazi na ile eneo liko very congestion, ni mara 200 ile stendi ya Nyamhongolo sijui kama nimepatia speling.Il stendi ilipaswa kutafutiwa eneo kubwa sana ambalo lingekuja kuzidiwa baada ya miaka hata 50 na sio hii ya miaka 4
Stendi ya Nyegezi naipa miaka 3 kutoka sasa wataanza kutafuta eneo jingine kwa ajili ya ujenzi wa stendi Mpya, Pale hamna maisha, ni pesa zisha pigwa za ujenzi na wakati wanatafuta eneo jipya wahusika wa sasa watakuwa my be walisha hamishiwa maeneo mengine kuendeleza upigaji.
Cha kustajabisha viongozi hawaoni kabisa kwamba eneo lile ni dogo sana na licha ya udogo ni eneo limejaaa, na lina Jam za kutosha na baada ya miaka minne halitafaaa kabisa itabidi litafutwe eneo jipya.
Hii nchi ni kawaida kufanya mambo kwa projection za miaka 4 tu mbele baada ya hapo tuna vunja au tunabomoa na kujenga tena.
Walio jenga au kuruhusu Ujenzi wa stendi ya Ubungo walipaswa kuwa jela kwa sasa kwa kulisababishia Taifa hasara ya kujenga stendi baada ya Muda inavunjwa inaenda kujengwa kwingine.
Wakati wenzetu Project zao huwa zinaangalia miaka 100 ijayo za kwetu ni miaka 4 ijayo. Na hii iko hadi kwemye Majengo ya Serikali.
Angali Majengo ya shule zinazo jengwa sasa na linganisha na zilizo jengwa na Kanisa au Wakoloni na baadae Nyerere akawanyang'anya kanisa. Shule kama Karatu Secondary wale watu wali project miaka 100 mbele hadi 200.
Angalia sasa shule zetu za kata projectiin ni miaka 3 hadi 4 mbele.