ZeMarcopolo
JF-Expert Member
- May 11, 2008
- 14,011
- 7,197
"Chanzo cha kuungua na kuharibika waya wa umeme wa chini ya bahari unaopeleka umeme Zanzibar kimebainishwa kuwa ni ukosefu wa betri za kuendesha jenereta za kupoza waya huo ambao unalazimika kupozwa muda wote bila kujali unazalisha umeme ama umezimwa.
Habari za ndani zilizoelezea tatizo hilo zilisema uzembe wa baadhi ya viongozi wa Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO) ndiyo chanzo cha kukosekana umeme visiwani hapa kwa karibu wiki tatu sasa kwa vile ulishindwa kutoa Sh. 150,000 za kununua betrii." - NIPASHE.
Habari za ndani zilizoelezea tatizo hilo zilisema uzembe wa baadhi ya viongozi wa Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO) ndiyo chanzo cha kukosekana umeme visiwani hapa kwa karibu wiki tatu sasa kwa vile ulishindwa kutoa Sh. 150,000 za kununua betrii." - NIPASHE.