Alexido jz instagram
JF-Expert Member
- May 5, 2026
- 2,313
- 5,666
- Thread starter
- #21
Kaka huyo ni mfano wa kuigwa, wake za watu wanaliwa mno sikuhiziNaunga mkono hoj
Kaka huyo ni mfano wa kuigwa, wake za watu wanaliwa mno sikuhiziNaunga mkono hoj
Na mashushu watafunika kombe ilihali ndo ajira zao?Ukiona hivyo jua mwanaume ndio kaolewa.
Yakitokea ya kutokea mwanaume anafunika kombe
SanaUnampa maua yake!
Sio umbea, tunataka mkeo, dada zetu, nao wajifunze kupitia nandy kakaVijana mnapenda umbea sana siku hizi.
Kuna mengine tuwaachie jinsia nyingine... Sisi tukiyapa airtime tutafikiriwa vinginevyoIna msaada tena sana huyo ni mfano wa kuigwa, visingizio vimekua vingi Kwa akina dada but huyu kasimama imara, Kwa Nini asipongezwe,
Kaka huyu katembea sana tena akiwa peke yake, lakini wapi, hatusikii loloteKwani kwa mfano tu alipoenda kwenye maonesho ya mavazi france kama angetaka kuchapwa si angechapwa tu cema huwezi jua.
Hakuna mwanamuziki asiyechiti hasahasa wanaume
Kaka jamii ili itengemae usiogope kumuita mtoto wako wa kike na kumfunza kumpa red flags za jamii ilivo, eti kisa atakuona tofauti si kweli jamii inahitaji, kupewa elimu, elimu inge tolewa Kwa wakati na Kwa uwazi Leo tusinge Lia na mimba za utotoni, lakini mentality ya hayatuhusi hayo ni ya kina Fulani ndo chanzo hata nchi yetu kito piga HATUa tuna amini wakuongea ni lisu na heche basii, wengine utasikia katusemeeKuna mengine tuwaachie jinsia nyingine... Sisi tukiyapa airtime tutafikiriwa vinginevyo
Ubishi wa nini mim mpaka hapa nina list ya mastaa 5 niliowapiga kwa mkwanjaHapo ndo mnapo feli, unadhani kila demu anataka hela za kudanga, niliwahi shuhudia demu kamchomolea kigogo mpaka kesho sijawahi amini, alafu aliekuwa anachapa sasa, hiyo mali
Na nandy umepiga mkuu? Hapa tunaongelea nandy sio wengine mkuuUbishi wa nini mim mpaka hapa nina list ya mastaa 5 niliowapiga kwa mkwanja
Nandy bado ila yupo kwenye mipangoNa nandy umepiga mkuu? Hapa tunaongelea nandy sio wengine mkuu
Huwezi jua kakaKaka huyu katembea sana tena akiwa peke yake, lakini wapi, hatusikii lolote
Hahahaaaa mwambie mhudumu asiongeze beer, kama hunywi beer basi kahawa, wambie inatosha babaNandy bado ila yupo kwenye mipango
Dah humjui nandy? We ni mzigo nchiniNdio nani huyo huko Daslam?
Sizani hauko sahihi nandy kajishusha Kwa billnas? si kweli, unakumbuka tukio la nandy kuvishwa Pete jukwani, billnas alimpigia magoti nandy akubali, kuvaa Pete, watu wanatoka mbali, siku mbele, nandy akadai Pete imeibiwa, mi naona billnas ndio kapambania ndoa, mana kipindi hicho hakua na maisha.Nandy ndie aliyependa zaidi kuliko kupendwa zaidi. Hadi kuolewa kajishusha,kalia sana kaomba misamaha mingi,ahadi kede kede.
Kumbuka alimuacha mwenyewe msela kisa ruge na vitisho kibao
Basii anamheshimu mumewe, hivo anamlindia heshima, mana Kwa macho ya waja dunia hii kuyaepuka si vyepesiHuwezi jua kaka
Wewe jamaa ni mshamba kweli,hivi unafikiri JF members wote wanaishi kwenye nchi moja tu?Dah humjui nandy? We ni mzigo nchini