Nandy tangu aolewe sijawahi sikia skendo

Nandy tangu aolewe sijawahi sikia skendo

Sizani hauko sahihi nandy kajishusha Kwa billnas? si kweli, unakumbuka tukio la nandy kuvishwa Pete jukwani, billnas alimpigia magoti nandy akubali, kuvaa Pete, watu wanatoka mbali, siku mbele, nandy akadai Pete imeibiwa, mi naona billnas ndio kapambania ndoa, mana kipindi hicho hakuna na maisha.
Wewe mgeni hapa mjini
 
Ukiacha skendo ya marehemu mutahaba, sijawahi sikia skendo nyingine, alipo olewa nilijua ndoa haikatiz mwaka Mmoja Chali, lakini wapiiii, ndo kwanza ananenepa dada wa watu.

Nadhani wachawi wako bize kugombanisha ili waachane na wabaki single kama wao, aseee sister nandy na zawadi Yako pliz, napenda kuona dada zangu mkitulia kwenye ndoa zenu nafurahi sana, MUNGU akutangulie dada angu, INSHAALLAH.

Huyu dada namfahamu sana amewahi kuishi mwanza akisoma greenview,miaka hiyo.Basi nilimpenda na kuna siku nilimualika mahali fulani akaja,nikatupa nyavu,akaniambia ana mtu wake na akanitajia huyo mtu wake ambae mimi nilikuwa nampa kazi fulani,basi nikaachia hapo akawa akiniita baba hadi leo.Ni mwanamke wa hadhi na msimamo na wala hana makuu
 
Huyu dada namfahamu sana amewahi kuishi mwanza akisoma greenview,miaka hiyo.Basi nilimpenda na kuna siku nilimualika mahali fulani akaja,nikatupa nyavu,akaniambia ana mtu wake na akanitajia huyo mtu wake ambae mimi nilikuwa nampa kazi fulani,basi nikaachia hapo akawa akiniita baba hadi leo.Ni mwanamke wa hadhi na msimamo na wala hana makuu
Mkuu green view ya wapi mana NAMI nimesoma hapo sijawahi sikia, hii stori, unasema green ya kiseke, au, nimesoma hapo sijawahi sikia nandy, kasomea green
 
Kil
Ukiacha skendo ya marehemu mutahaba, sijawahi sikia skendo nyingine, alipo olewa nilijua ndoa haikatiz mwaka Mmoja Chali, lakini wapiiii, ndo kwanza ananenepa dada wa watu.

Nadhani wachawi wako bize kugombanisha ili waachane na wabaki single kama wao, aseee sister nandy na zawadi Yako pliz, napenda kuona dada zangu mkitulia kwenye ndoa zenu nafurahi sana, MUNGU akutangulie dada angu, INSHAALLAH.

Kila siku nasema, siku hizi kuolewa au kuoa kuna umri wake ambapo unakuwa umeishafanya uhuni wako wote na sasa unakuwa unahitaji kupumzika. Kwa mwanaume kama bado ukiona tako, dushe linasimama au sura nzuri unajikuta ccm juu; elewa wakati wako wa kuoa bado.

Ukiona mwanamke akikasirika anadai muachane, jua aliolewa kabla ya wakati wake.
 
Kil

Kila siku nasema, siku hizi kuolewa au kuoa kuna umri wake ambapo unakuwa umeishafanya uhuni wako wote na sasa unakuwa unahitaji kupumzika. Kwa mwanaume kama bado ukiona tako, dushe linasimama au sura nzuri unajikuta ccm juu; elewa wakati wako wa kuoa bado.

Ukiona mwanamke akikasirika anadai muachane, jua aliolewa kabla ya wakati wake.
Hamna malezi tu, kipindi nandy anaolewa alikua mdogo sana ha ta billnas hakua amekua kiakili, billnas ni mdogo Kwa mondi, hivo kusema Kesha maliza ujana si kweli nikujitambua tu, mkuu ukitaka kuoa oa mnae endana, ndo mana unashauriwa owa rafiki Yako mshikaji wako, ukikosea anakuchana, mnayamaliza.

Nandy na billnas wamefahamiana zamani, wamependana tu, huyu billnas kasemwa vibaya sana kipindi anajitafuta hakua na hela wasanii wenzake walidai alikua anawapiga sana mizinga, ni ngumu nandy kumkubali, ukiona hivo basi jua wamependana hawa vijana, Leo mshikaji kawazidi wasanii wengi pesa, sababu ya mke alie nae, angekua keshakimbiwa zamani.
 
Skendo kama kuchepuka ama? Huenda ni ya siri mie na wewe hatuwezi jua...

Ila jambo kubwa tu ambalo nahisi bill nas aliwin ni kuoa mwanamke ambae kafa kaoza kwa mwanaume.
Yule binti inaonekana ana mpenda sana nenga..
Kwenye ile skendo ya NYAMCHUPI niliona sehemu ya mahojiano nikajua hapa demu ndio kapenda zaidi.
 
Ukiacha skendo ya marehemu mutahaba, sijawahi sikia skendo nyingine, alipo olewa nilijua ndoa haikatiz mwaka Mmoja Chali, lakini wapiiii, ndo kwanza ananenepa dada wa watu.

Nadhani wachawi wako bize kugombanisha ili waachane na wabaki single kama wao, aseee sister nandy na zawadi Yako pliz, napenda kuona dada zangu mkitulia kwenye ndoa zenu nafurahi sana, MUNGU akutangulie dada angu, INSHAALLAH.

Umesahau hata ule mchupi wake ?
 
Ukiacha skendo ya marehemu mutahaba, sijawahi sikia skendo nyingine, alipo olewa nilijua ndoa haikatiz mwaka Mmoja Chali, lakini wapiiii, ndo kwanza ananenepa dada wa watu.

Nadhani wachawi wako bize kugombanisha ili waachane na wabaki single kama wao, aseee sister nandy na zawadi Yako pliz, napenda kuona dada zangu mkitulia kwenye ndoa zenu nafurahi sana, MUNGU akutangulie dada angu, INSHAALLAH.


Wamedumu sababu inavyoonekana Nandy ndiye anayempenda zaidi Bill Nas na Bill Nas na yeye sio macho juu juu sana
 
Hamna malezi tu, kipindi nandy anaolewa alikua mdogo sana ha ta billnas hakua amekua kiakili, billnas ni mdogo Kwa mondi, hivo kusema Kesha maliza ujana si kweli nikujitambua tu, mkuu ukitaka kuoa oa mnae endana, ndo mana unashauriwa owa rafiki Yako mshikaji wako, ukikosea anakuchana, mnayamaliza.

Nandy na billnas wamefahamiana zamani, wamependana tu, huyu billnas kasemwa vibaya sana kipindi anajitafuta hakua na hela wasanii wenzake walidai alikua anawapiga sana mizinga, ni ngumu nandy kumkubali, ukiona hivo basi jua wamependana hawa vijana, Leo mshikaji kawazidi wasanii wengi pesa, sababu ya mke alie nae, angekua keshakimbiwa zamani.
Hujanielewa, niliongea kimafumbo! Nasema kwa sasa inatakiwa mwanamke kwanza akazwe na madushe ya kila aina, mitindo yote, akishiba ndipo aolewe. Umesahau Skendo ya Chuli ya Nandy? Umesahau alikuwa anatembea na Marehemu Ruge na Ukimwi wake, hadi kusema walikuwa waoane? Alizishiba akawa tayari kwa ndoa
 
Back
Top Bottom