Nandy tangu aolewe sijawahi sikia skendo

Nandy tangu aolewe sijawahi sikia skendo

Hujanielewa, niliongea kimafumbo! Nasema kwa sasa inatakiwa mwanamke kwanza akazwe na madushe ya kila aina, mitindo yote, akishiba ndipo aolewe. Umesahau Skendo ya Chuli ya Nandy? Umesahau alikuwa anatembea na Marehemu Ruge na Ukimwi wake, hadi kusema walikuwa waoane? Alizishiba akawa tayari kwa ndoa
Kuna limalaya fulani nimekutana nalo juzi kati , linaniambia nalo linataka kuolewa.
 
kiuhalisia tu, Billnass alishinda sana kumpata Nandy na kufanikisha kumuoa. Mwanaume yeyote akifanikiwa kumuoa mwanamke wa ndoto zake anakuwa ameshinda sana. Bahati mbaya, this is the most difficult task ever on earth. Wanawake tunaowapenda wanatupitsha kwenye hell just for us to be with them. But ukishamuoa tu, it will be worth everything ambacho ashawahi kukupitisha.
 
Huyu dada namfahamu sana amewahi kuishi mwanza akisoma greenview,miaka hiyo.Basi nilimpenda na kuna siku nilimualika mahali fulani akaja,nikatupa nyavu,akaniambia ana mtu wake na akanitajia huyo mtu wake ambae mimi nilikuwa nampa kazi fulani,basi nikaachia hapo akawa akiniita baba hadi leo.Ni mwanamke wa hadhi na msimamo na wala hana makuu
Nandy kasoma shule flan ipo hapa wilaya ya Mwanga inaitwa Lomwe.
 
Kaka pale Kwa ruge, ilikua juu ya uwezo wake, ni ina akubali kikojoleo kiliwe au apotezwe, wale walikua kama miungu watu mziki walikua nao wao, wao ndo waliamua nani atoke awe star na nani apotezwe, SUMA MNAZALETI aliambiwa hakuna kupanda show yoyote ya fiesta Wala p.a wakati huo na ndo ilivokua, walifeli Kwa diamondi tu
Inawezekana uko sahihi. Tena si kwa kutongoza, ni kanapoint.
 
Skendo kama kuchepuka ama? Huenda ni ya siri mie na wewe hatuwezi jua...

Ila jambo kubwa tu ambalo nahisi bill nas aliwin ni kuoa mwanamke ambae kafa kaoza kwa mwanaume.
Yule binti inaonekana ana mpenda sana nenga..
Kwenye ile skendo ya NYAMCHUPI niliona sehemu ya mahojiano nikajua hapa demu ndio kapenda zaidi.
Nilimsikiliza mama yake nandy kipindi anahojiwa, Kuna kauli alisema, " sisi ni wazazi hatuna uwezo wa kum chagulia mume, hata tkiletewa kichaa poa tu" nikajua wazazi hawamuelewi nenga kisa ile inshu ya kuvujisha picha za nandy na ule mchupi, walifeli kitu kimoja walichelew demu alikua Kesha data kwishaaaa, demu akipenda tu umemaliza
 
Wamedumu sababu inavyoonekana Nandy ndiye anayempenda zaidi Bill Nas na Bill Nas na yeye sio macho juu juu sana
Hapo umenena, asee billnas inaonesha si mtu wa sketi sana, mana navo sikia, billnas ni mtu wa siasa, mambo ya tundu lisu, heche kafanya Nini, ziara ya kihongosi, bungeni wamesema Nini, ndo vitu vyake, nandy alisema mwenyewe
 
Kwa hiyo kumjua huyo mtu wewe ni mjanja sana?
Usipo mjua nandy basi humjui ruge, ukimjua ruge lazima umfatilie huwezi mjua mtu bila kumchunguza, usipo kua navo hivo basi we si mtu makini, umenikumbusha dogo Mmoja alikua anapiga stori na rafiki zake ghafla akasikia Mmoja anasema raisi wa awamu ya tano tangu kafariki ni muda sana, eti huyo dogo akashangaa eti siku zote hizo, hakua na taarifa.

yani miezi karibu mitatu unasema hukuwa na taarifa eti anapo Fanya kazi ni geti Kali Huwa hatoki, sasa huyo si ni mjinga na mzigo Kwa taifa, rais wako anafariki hujui, dah
 
Hujanielewa, niliongea kimafumbo! Nasema kwa sasa inatakiwa mwanamke kwanza akazwe na madushe ya kila aina, mitindo yote, akishiba ndipo aolewe. Umesahau Skendo ya Chuli ya Nandy? Umesahau alikuwa anatembea na Marehemu Ruge na Ukimwi wake, hadi kusema walikuwa waoane? Alizishiba akawa tayari kwa ndoa
Bro umeelewa vizuri hapo juu, kilicho andikwa
 
Back
Top Bottom