Nandy tangu aolewe sijawahi sikia skendo

Nandy tangu aolewe sijawahi sikia skendo

Ukiacha skendo ya marehemu mutahaba, sijawahi sikia skendo nyingine, alipo olewa nilijua ndoa haikatiz mwaka Mmoja Chali, lakini wapiiii, ndo kwanza ananenepa dada wa watu.

Nadhani wachawi wako bize kugombanisha ili waachane na wabaki single kama wao, aseee sister nandy na zawadi Yako pliz, napenda kuona dada zangu mkitulia kwenye ndoa zenu nafurahi sana, MUNGU akutangulie dada angu, INSHAALLAH.

Skendo utasikiaje wakati anakula njugu. Kirusi huwa akikumbatiwi kinaogopwa kama ukoma...Boss yule wa Mawinguni hakumuacha salama
 
Skendo utasikiaje wakati anakula njugu. Kirusi huwa akikumbatiwi kinaogopwa kama ukoma...Boss yule wa Mawinguni hakumuacha salama
Tuwe na heshima basi, mlimuona boss akila njugu? kaka hata wewe Kuna watu wanajia umeathirika, tujifunze kupata taarifa sahihi kwanza, ukimswma nandy je na mkewe zamrd tumsemeje ?
 
Tuwe na heshima basi, mlimuona boss akila njugu? kaka hata wewe Kuna watu wanajia umeathirika, tujifunze kupata taarifa sahihi kwanza, ukimswma nandy je na mkewe zamrd tumsemeje ?

Heshima ipi hiyo? Au na wewe unakula njugu...ukweli ni Kwamba anakula njugu...kirusi haijawahi kumuacha mtu salama... na Sasa hivi TEETH wanawamaliza kimya kimya wenye virusi...very soon hata huyo utasikia parapanda yeye na Mume wake na mtoto wake...HUWEZI ukawa na kirusi, Mamlaka za Usalama zikakuacha salama...lazima watapita na wewe haraka sana
 
Usipo mjua nandy basi humjui ruge, ukimjua ruge lazima umfatilie huwezi mjua mtu bila kumchunguza, usipo kua navo hivo basi we si mtu makini, umenikumbusha dogo Mmoja alikua anapiga stori na rafiki zake ghafla akasikia Mmoja anasema raisi wa awamu ya tano tangu kafariki ni muda sana, eti huyo dogo akashangaa eti siku zote hizo, hakua na taarifa.

yani miezi karibu mitatu unasema hukuwa na taarifa eti anapo Fanya kazi ni geti Kali Huwa hatoki, sasa huyo si ni mjinga na mzigo Kwa taifa, rais wako anafariki hujui, dah
Gen z mna upumbavu sana🚮
 
Heshima ipi hiyo? Au na wewe unakula njugu...ukweli ni Kwamba anakula njugu...kirusi haijawahi kumuacha mtu salama... na Sasa hivi TEETH wanawamaliza kimya kimya wenye virusi...very soon hata huyo utasikia parapanda yeye na Mume wake na mtoto wake...HUWEZI ukawa na kirusi, Mamlaka za Usalama zikakuacha salama...lazima watapita na wewe haraka sana
Sawa mkuu ina onesha Kuna mahala walikukosea,
 
Ukiacha skendo ya marehemu mutahaba, sijawahi sikia skendo nyingine, alipo olewa nilijua ndoa haikatiz mwaka Mmoja Chali, lakini wapiiii, ndo kwanza ananenepa dada wa watu.

Nadhani wachawi wako bize kugombanisha ili waachane na wabaki single kama wao, aseee sister nandy na zawadi Yako pliz, napenda kuona dada zangu mkitulia kwenye ndoa zenu nafurahi sana, MUNGU akutangulie dada angu, INSHAALLAH.

Haujaskia SKENDO kwasababu JASIRI MUONGOZA njia ametangulia mbele ya haki(M.A.P).
 
Ukiacha skendo ya marehemu mutahaba, sijawahi sikia skendo nyingine, alipo olewa nilijua ndoa haikatiz mwaka Mmoja Chali, lakini wapiiii, ndo kwanza ananenepa dada wa watu.

Nadhani wachawi wako bize kugombanisha ili waachane na wabaki single kama wao, aseee sister nandy na zawadi Yako pliz, napenda kuona dada zangu mkitulia kwenye ndoa zenu nafurahi sana, MUNGU akutangulie dada angu, INSHAALLAH.


Ni nani huyo? NYIE WANAWAKE MNAVYOJUANA MNAAMINI NASI TUNAWAFAHAMU WOTE
 
Back
Top Bottom