Nandy kwa sasa yuko kwenye mahusiano na Gavana wa Mombasa?

Mlitaka nyie muendelee tu kuwala dada zao sio.. Wacha na wenu waliwe kidogo.

Tofauti tu ni kwamba mademu wa Kenya wana hela zao ndefuu...ila hawa wabongo huko wanafuata hela tu na kusambaza njaa.

Huwezi kuta manzii wa Kenya amechora tatoo ya mbongo kilofalofa tu.

Si ndo hapo , yan Ndo ushamba wa mademu wa kibongo, Sasa kujivalisha kofia yake Ndo nini ? Yan anaona sifa mxieew

Hao akina Vera na huddah wanalala mpaka na marais wa Africa nchi mbali mbali na hukuti waki brag hivyo, hawa bahat za akina jackline ntuyabaliwe kuolewa na mabillionea watazionea insta , yan nandy mZuri Ila akili hana , kana mapepe sana nyota yenyewe Hana mxieew


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mlitaka nyie muendelee tu kuwala dada zao sio.. Wacha na wenu waliwe kidogo.

Tofauti tu ni kwamba mademu wa Kenya wana hela zao ndefuu...ila hawa wabongo huko wanafuata hela tu na kusambaza njaa.

Huwezi kuta manzii wa Kenya amechora tatoo ya mbongo kilofalofa tu.
Nandy ana hela wewe mkenya katoa zawadi ya nyumba kwa wazazi wake ..acha urofa wewe
 
Kila msanii anaenda Kenya kwa sasa kulikoni?

Hii ni picha ya Nandy akiwa amevaa kofia yenye jina la Gavana wa Mombasa bwana Joho.

Je, ina maana wapo kwa mahusiano? Hivi Joho si anaye mpenzi!

Ijapo haijathibitika rasmi ila Joho anapaswa aweke wazi au tumuulize rafiki yake wa karibu ambaye ni Ommy Dimpoz au hata
Kiba

View attachment 1019126

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye mume wake si kashapona tayari
 
Si ndo hapo , yan Ndo ushamba wa mademu wa kibongo, Sasa kujivalisha kofia yake Ndo nini ? Yan anaona sifa mxieew

Hao akina Vera na huddah wanalala mpaka na marais wa Africa nchi mbali mbali na hukuti waki brag hivyo, hawa bahat za akina jackline ntuyabaliwe kuolewa na mabillionea watazionea insta , yan nandy mZuri Ila akili hana , kana mapepe sana nyota yenyewe Hana mxieew


Sent from my iPhone using JamiiForums
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom