princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,197
- 2,051
Hahaha..NATAFAKARI " GAVANA WA MOMBASA".
unataka
kusemaje
mkuu??
Hahaha..NATAFAKARI " GAVANA WA MOMBASA".
Kashfa gani?Joho ana likashfa na wanasiasa wenzake wamemkalia kooni, juzi aliitisha press conference.
Noma Sana Mkuu,Mambo ni Mengi Mda Mchache.....Nataka Kusema Yupo Na JOHO wa MOMBASA.Hahaha..
unataka
kusemaje
mkuu??
madawa ya kulevya.
Kwaiyo inawezakana ana watumia wanamziki?madawa ya kulevya.
Umeandika kinyume mkuuMombasa ni kubwa,usiku ni ndogo
Wapi fifi motoooo
Duhhh ...Range ya uda thebosschick ilinyang'anywa imebadilishwa rangi kapewa nandy nayeye atakuja kunyang'anywa haya naona mambo mengi mda mchache.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlitaka nyie muendelee tu kuwala dada zao sio.. Wacha na wenu waliwe kidogo.
Tofauti tu ni kwamba mademu wa Kenya wana hela zao ndefuu...ila hawa wabongo huko wanafuata hela tu na kusambaza njaa.
Huwezi kuta manzii wa Kenya amechora tatoo ya mbongo kilofalofa tu.
Nandy ana hela wewe mkenya katoa zawadi ya nyumba kwa wazazi wake ..acha urofa weweMlitaka nyie muendelee tu kuwala dada zao sio.. Wacha na wenu waliwe kidogo.
Tofauti tu ni kwamba mademu wa Kenya wana hela zao ndefuu...ila hawa wabongo huko wanafuata hela tu na kusambaza njaa.
Huwezi kuta manzii wa Kenya amechora tatoo ya mbongo kilofalofa tu.
Mwenye mume wake si kashapona tayariKila msanii anaenda Kenya kwa sasa kulikoni?
Hii ni picha ya Nandy akiwa amevaa kofia yenye jina la Gavana wa Mombasa bwana Joho.
Je, ina maana wapo kwa mahusiano? Hivi Joho si anaye mpenzi!
Ijapo haijathibitika rasmi ila Joho anapaswa aweke wazi au tumuulize rafiki yake wa karibu ambaye ni Ommy Dimpoz au hata
Kiba
View attachment 1019126
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Si ndo hapo , yan Ndo ushamba wa mademu wa kibongo, Sasa kujivalisha kofia yake Ndo nini ? Yan anaona sifa mxieew
Hao akina Vera na huddah wanalala mpaka na marais wa Africa nchi mbali mbali na hukuti waki brag hivyo, hawa bahat za akina jackline ntuyabaliwe kuolewa na mabillionea watazionea insta , yan nandy mZuri Ila akili hana , kana mapepe sana nyota yenyewe Hana mxieew
Sent from my iPhone using JamiiForums